Mtoto wangu anataka kuniibia nimeona Dalili

Mtoto wangu anataka kuniibia nimeona Dalili

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,853
Reaction score
35,614
Wakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
 
Hapo kwanza nicheke

Binafsi una elimu fanya jitihada umbadilishie mwenyewe madogo janja wajuaji sana

Juzi kuna brother mkuu hapa kapigwa laki na mwanae yupo duce eti pesa ya mtihani wa sup na alishampa kitambo aliniambia nikacheka sana mbaya jamaa ana masters amesoma nje kidogo na dogo alisup somo moja 🤣🤣🤣
 
Hapo kwanza nicheke

Binafsi una elimu fanya jitihada umbadilishie mwenyewe madogo janja wajuaji sana

Juzi kuna brother mkuu hapa kapigwa laki na mwanae yupo duce eti pesa ya mtihani wa sup na alishampa kitambo aliniambia nikacheka sana mbaya jamaa ana masters amesoma nje kidogo na dogo alisup somo moja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ndio maana nimekuja kuuliza huku huyu kijana niliona dalili anataka kunipiga
 
Wakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
Nanda kwa huyo aliyesema gharama ni laki na nusu umuulize wewe siyo utume utume kijana wako ambae humuamini.
 
Wakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
Hesabu ana UFAULU UPI??
 
Huyu anataka kuniletea ujanja wa Dada yake ambaye alikua akinieleza hela ya Supp kila semister nikawa nalipia supplimentary nne hadi tano najiuliza inakuaje supp kila semister kumbe naibiwa sasa mwisho wao umefika wananiona mimi zuzu hawa
 
Wakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
Inawezekana kosa sio lake ivi unauhakika mamaye mtoto hakukuibia kwel kwa kukuongopea kuwa mtoto n wako? maana anatunga uongo kama mm kabisa asjekuwa wangu huyo 😇🙃 kapicha tafadhal
 
Wakuu
Selection zimetoka sasa kijana wangu kafaulu masomo ya sayansi zaidi kuliko masomo ya sanaa
Sasa yeye alichagua combination kama PCM , CBG za sanaa hakuchagua bahati mbaya sijui uzembe wa TAMISEMI wamemchagua HKL sasa je naambiwa gharama ya kubadilisha ni laki na nusu, huu nahisi nafanyiwa wizi wa mchana kweupe.
Ni kweli kubadilisha mchepuo ni laki moja na nusu na anasema nimpatie haraka kwamba nikichelewa eti system inajifunga hadi mwakani tupeane mawazo wakuu imekaajekaaje hiyo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
pole sana ila hakuna kitu kama hicho
kubadilisha huwa ni bure kama shule aliyochagua kuna combination anayotaka
 
Nashukuruni ngoja nifanye uhakiki zaidi hawa watoto wajinga sana ukiwaendekeza wanakuibia kimachomacho
 
Back
Top Bottom