Amantogoyoka
Member
- Jul 9, 2015
- 32
- 10
Mambo vp members,
Nilikuwa na house girl mtu mzima kama miaka 30 na ushee hivi, wakati huo nilikuwa naishi mbali na familia yangu kikazi, nimeishi na huyo house girl kwa muda mrefu kama miaka mitano lakini baada ya hapo uzalendo ukanishinda matokeo yake akawa amepata mimba na kuzaa mtoto wa kiume. sijawahi kumwambia mke wangu kuhusu jambo hili sasa naomba ushauri wenu nifanye nini? kwa sasa mtoto ana umri wa miaka 2 na sina mpango wa kuoa mke wa pili kwa vile ndoa yangu ni ya kikiristo
Nilikuwa na house girl mtu mzima kama miaka 30 na ushee hivi, wakati huo nilikuwa naishi mbali na familia yangu kikazi, nimeishi na huyo house girl kwa muda mrefu kama miaka mitano lakini baada ya hapo uzalendo ukanishinda matokeo yake akawa amepata mimba na kuzaa mtoto wa kiume. sijawahi kumwambia mke wangu kuhusu jambo hili sasa naomba ushauri wenu nifanye nini? kwa sasa mtoto ana umri wa miaka 2 na sina mpango wa kuoa mke wa pili kwa vile ndoa yangu ni ya kikiristo