NEW TANZANIA
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 101
- 25
Kosa la gaddafi ilikuwa kutumia pesa ya walibya kama yake,
kuna hoja nyingi kumtetea gaddafi lakini mimi nawaona walibya kama mfano wa kuigwa wameushinda utumwa wa fikra kama mtoa mada alivyojaribu kuhainisha
kuna hoja nyingi kumtetea gaddafi lakini mimi nawaona walibya kama mfano wa kuigwa wameushinda utumwa wa fikra kama mtoa mada alivyojaribu kuhainisha