Mtoto wa mtumwa ni mtumwa ..... Tubadilike kifra .....

VIKWAZO

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
1,899
580
AFRIKA BADO YA KITUMWA, TUNAPENDA UTUMWA/UNYONGE

Wandungu salaamu.

Kwa uchungu na umakini leo nimeamua kushika key ili nitume message kwa Watanzania wenzangu, kikubwa hasa kilichonisukuma ni mambo makubwa mawili ambayo ni mapinduzi ya Afrika Kiuchumi na kisiasa.

Kwa ujumla kila kunapotokea mapinduzi barani Afrika hasa kisiasa mataifa ya ulaya uhusishwa nayo hata kama waliofanya hivyo ni waafrika wenye e.g Libya, Misri na N,K

Nimetapa bahati kubwa kuwa na marafiki wanaotoka Libya nimefanya nao mazungumzo wengine wanamchukia Gaddafi kwa namna moja au nyingi kubwa ikiwa kuuliwa ndugu zao na kuishi kwa kutishika, Gaddafi alikuwa hatari kwa maisha yao kuliko UKIMWI

Baada ya mapinduzi kumtoa watu wameusisha mataifa ya ulaya ya kwamba ndio yalikuwa na chuki na Gaddafi na kumwanzishia vita, lakini swali kubwa nalojiuliza kama hayo mataifa yalikuwa na chuki na Gaddafi iweje watu wake wanachukie hivyo kama alikuwa mwema kwao.

Swali wengi wanalouliza, kwa nini Libya na sio Somalia? Tunatakiwa kuelewa ya kwamba walibya waliamua kumtoa dikiteta NATO wakatoa cover zidi ya siraha za maangamizi alizokuwa akitumia Gaddafi, lakini pia vita ya Somalia ni ya aina yake sio kila vita unaweza kujiingiza tu kisa una nguvu, taarifa zinasema Somalia ni hatari kwa sababu ya tawala za kikoo, inaweza kuchukua miaka maana kuna maadui wengi hata ukishinda vita hawa watu hawawezi kukaa meza moja wanachukiana wao kwa wao.

Kwa Tanzania kumekuwa na unyonyaji mkubwa kupitika mikabata ya makapuni ya kigeni hakuna aliyewahi kufungwa au wananchi kupinga kwa nguvu hiyo mikataba au kuwakataa katika jamii waliotuingiza katika hiyo mikataba, tulichofanya ni kuita hiyo mikataba '‘UKOLONI MAMBO LEO'' kisha kulialia tu na kutaka wanaharakati wapigania haki zetu nchi nzima, kisha kushutumu wawekezaji,

Hivi mtu akikuibia mke utamlaumu? Au hiyo ni ishara kwamba huyo mke hakufai, kwa nini kupigana na aliyekuchukulia mkeo!!!!!!!!!

Hayo mataifa tunayo shutumu yamefikishwa hapo na wananchi wake kwa mshikamano katika kupinga uovu na kuweka misingi ya kuwajibika katika jamii yao na utawala hawategemei taifa au mtu kutoka nje kuwasaidia kupigania haki zao sisi hatuna maamuzi.

Tunaweza kulia na marekani mpaka mwisho wa dunia lakini tujue wao wana haki ya kufanya wanachofanya ( HAKI YA KUCHAGUA RAFIKI NA MAIDU) tuondoe utegemezi kifrika na kiuchumi tusimame kama sisi waarabu/asia wameweza

Tumewategemea sana USA kwa kila kitu na ndio maana tunawalalamikia hata kwa mambo wasiyohusika nayo, kama sisi waafrika tungekuwa na utu na umoja tungemwambia Gaddafi hasitumia siraha kali za maangamizi zidi ya raia wake, lakini kwa sababu wengi walikuwa mfukoni mwa Gaddafi ndio maana tunalia na Uonevu zidi yake na kusahau mchango wetu,
 
Kila Coin inakuwa na pande mbili hicho ndicho kinachozungumziwa na wengi. Uchambuzi wako umeelezea Somalia lakini umesahau kuhusu Yemeni, Palestina na Bahrain Ujagusa Ktk Uchambuzi Wako. Umezungumzia habari za utaifa lakini umeshindwa kuunganisha ktk mada yako. Binafsi naona jambo la Libya Kila Mtu anamtizamo wake ktk kile anachoona lakini tuangalie mara baada ya kuiteka Tripoli tu kampuni za Kifaransa na Rusia wakaanza mikata minono ya uchimbaji mafuta kwa kasi na ujiulize gharama za ile vita itarudishwaje hapo ndipo uanzie tafakari yako mpya.
 
Kila Coin inakuwa na pande mbili hicho ndicho kinachozungumziwa na wengi. Uchambuzi wako umeelezea Somalia lakini umesahau kuhusu Yemeni, Palestina na Bahrain Ujagusa Ktk Uchambuzi Wako. Umezungumzia habari za utaifa lakini umeshindwa kuunganisha ktk mada yako. Binafsi naona jambo la Libya Kila Mtu anamtizamo wake ktk kile anachoona lakini tuangalie mara baada ya kuiteka Tripoli tu kampuni za Kifaransa na Rusia wakaanza mikata minono ya uchimbaji mafuta kwa kasi na ujiulize gharama za ile vita itarudishwaje hapo ndipo uanzie tafakari yako mpya.

Vita ya libya imepiganwa kwa ghalama za walibya wenyewe hii iko wazi na NATO walitoa ufafanuzi ya kwamba watachukuwa $1bilion kutoka katika asset za libya zilizoko nje ya nchi japo Afrika Kusini bado wanagoma kutoa baadhi ya Asset lakini Libya wana more than $150 billion asset zimekwisha hainishwa, hivyo kusema mafuta yamechangia hii vita kwa hayo makapuni kuingia kuchimba mafuta ni sehemu ya kurudisha pesa ya vita sio sahihi hela ya vita hiyo hipo na NATO alikuwa cover kwa NTC na hela watalipwa. Again Nato sio waanzilishi wa hii VITA

hoja yangu ya utaifa katika hii mada ni kwamba mambo mengi yanakwenda kama ilivyo kwa libya kwa vongozi kuteka HAKI za wananchi na wananchi kutofanya kitu wakisubiria USA kujitokeza ili kuwaokoa nikatoa mfano wa mikataba iliyotufikisha hapa na inayoendelea kututafuta hakuna mwananchi wanayekerwa vya kutosha , hakuna anaye chukua hatua tunaimba kama wimbo tukiwa na FIKRA za kitumwa kwamba hao wazungu ndio wametuingiza katika hiyo mikataba na kusahau wazalendo wenzetu walisahini hayo mamikataba.
China imefika hapo ilipo kwa kuwa na sheria kali zanazokuwa enforced sisi tunasubilia USA kwa sababu tulikuwa watumwa tunaimani ya kwamba kila kitu kinachotokea cha kionevu chanzo ni mweupe na sisi sio sehemu ya hayo maovu,
ndio maana nikasema tutaendelea kulia mpaka lini? Walibya wamejikomboa wenyewe sisi bado tunadai ni nguvu ya NATO ndio maana tuka hivi tulivyo kiuchumi
 
mod naomba mulekebishe heading ya hii habari.mia

kuna tatizo gani mkuu kwenye hiyo heading!!!!!!!!!!!!!!
Waafrika tunaamini bado tuko utumwani kila kitu weupe watufanyie na matatizo yetu tuna amini yametokana na wakoloni wetu wa zamani
 
Kweli mtupu, kuna report imetolewa na WORLD BANK kama mwezi mmoja uliopita kuhusu uwekezaji
wawekezaji wa ukweli wako tayari kuja kuwekeza AFRIKA kutokana na CHINA kuzidiwa na wingi wa uwekezaji lakini cha kusikitisha ni kwamba AFRIKA bado haijawa tayari,
AFRIKA hakuna barabara, nishati na nguvu watu iliyopo ya kitaalamu bado ni ndogo au hakuna uzoefu, hii inatokana na vipaumbele vibovu vilivyowekwa na serikali zetu
Tanzania tulitakiwa kuwa mbali sana lakini mekuwa tegemezi na omba omba elimu ya uraia kwa wananchi bado ni tatizo hii imewekwa na ccm kwama mtaji wake wa kura
 
Kila Coin inakuwa na pande mbili hicho ndicho kinachozungumziwa na wengi. Uchambuzi wako umeelezea Somalia lakini umesahau kuhusu Yemeni, Palestina na Bahrain Ujagusa Ktk Uchambuzi Wako. Umezungumzia habari za utaifa lakini umeshindwa kuunganisha ktk mada yako. Binafsi naona jambo la Libya Kila Mtu anamtizamo wake ktk kile anachoona lakini tuangalie mara baada ya kuiteka Tripoli tu kampuni za Kifaransa na Rusia wakaanza mikata minono ya uchimbaji mafuta kwa kasi na ujiulize gharama za ile vita itarudishwaje hapo ndipo uanzie tafakari yako mpya.
Palestina kuna progress sinafanyika wiki mbili zilizopita tumeona wakibadilisha mateka
lakini pia mleta mada kajikita zaidi afrika twende kwa mtazamo huo, kuna N.K kwenye hiyo mada hivyo inaonyesha kutambua kuwepo kwa sehemu nyingine kama hizo ulizotaja,
 
Vita ya libya imepiganwa kwa ghalama za walibya wenyewe hii iko wazi na NATO walitoa ufafanuzi ya kwamba watachukuwa $1bilion kutoka katika asset za libya zilizoko nje ya nchi japo Afrika Kusini bado wanagoma kutoa baadhi ya Asset lakini Libya wana more than $150 billion asset zimekwisha hainishwa, hivyo kusema mafuta yamechangia hii vita kwa hayo makapuni kuingia kuchimba mafuta ni sehemu ya kurudisha pesa ya vita sio sahihi hela ya vita hiyo hipo na NATO alikuwa cover kwa NTC na hela watalipwa. Again Nato sio waanzilishi wa hii VITA

hoja yangu ya utaifa katika hii mada ni kwamba mambo mengi yanakwenda kama ilivyo kwa libya kwa vongozi kuteka HAKI za wananchi na wananchi kutofanya kitu wakisubiria USA kujitokeza ili kuwaokoa nikatoa mfano wa mikataba iliyotufikisha hapa na inayoendelea kututafuta hakuna mwananchi wanayekerwa vya kutosha , hakuna anaye chukua hatua tunaimba kama wimbo tukiwa na FIKRA za kitumwa kwamba hao wazungu ndio wametuingiza katika hiyo mikataba na kusahau wazalendo wenzetu walisahini hayo mamikataba.
China imefika hapo ilipo kwa kuwa na sheria kali zanazokuwa enforced sisi tunasubilia USA kwa sababu tulikuwa watumwa tunaimani ya kwamba kila kitu kinachotokea cha kionevu chanzo ni mweupe na sisi sio sehemu ya hayo maovu,
ndio maana nikasema tutaendelea kulia mpaka lini? Walibya wamejikomboa wenyewe sisi bado tunadai ni nguvu ya NATO ndio maana tuka hivi tulivyo kiuchumi

Hapo unaposema kuwa Vita ya Libya imeendeshwa kwa hela ya walibya wenyewe unakuwa unakiri kuwa utajiri wa Libya ndio umepelekea NTC kupata msaada wa kivita kutoka kwa NATO, na vilevile unamsifia Gaddafi Kwa Kuiwezesha Libya Kuwa na Investment zenye thamani kubwa ndani na nje ya Libya. Kama Ulivyoelezea Kuhusu somali ebu tupe maoni yako kwanini NATO hawawasaidii Yemeni, Palestina nk katika kujikomboa ingawa kunaupinzani unaendelea.
 
Palestina kuna progress sinafanyika wiki mbili zilizopita tumeona wakibadilisha mateka
lakini pia mleta mada kajikita zaidi afrika twende kwa mtazamo huo, kuna N.K kwenye hiyo mada hivyo inaonyesha kutambua kuwepo kwa sehemu nyingine kama hizo ulizotaja,

Tunaweza Kutoleo Mifano tu ilikupa wazo lilosahihi.
 
Nimeipenda heading kwenye hii thread..

Wakati we umeipenda hii heading, mi nimeshtushwa nayo kidogo, na nitaijadili heaing tu badala ya content ya msg!!
Nadhani msemo wa mtoto wa nyoka ni nyoka mahali pengine unakua hauna nafasi.
Yaani unaweza ukawa/ukajiita "MTOTO WA MKULIMA" lakini wewe mwenyewe usiwe "MKULIMA", bali FISADI tu.
Unajitoa vipi kwenye ufisadi ikiwa upo kwenye sehemu au wadhifa mkubwa tu wa kuweza kukemea ufisadi na haufanyi hivyo?
 
Wakati we umeipenda hii heading, mi nimeshtushwa nayo kidogo, na nitaijadili heaing tu badala ya content ya msg!!
Nadhani msemo wa mtoto wa nyoka ni nyoka mahali pengine unakua hauna nafasi.
Yaani unaweza ukawa/ukajiita "MTOTO WA MKULIMA" lakini wewe mwenyewe usiwe "MKULIMA", bali FISADI tu.
Unajitoa vipi kwenye ufisadi ikiwa upo kwenye sehemu au wadhifa mkubwa tu wa kuweza kukemea ufisadi na haufanyi hivyo?

Mkuu, kujiita mtoto wa Mkulima sio sababu ya kutokuwa fisadi unaweza kuwa mtoto wa mkulima halafu hapo hapo ukawa fisadi wa kutupwa...

Lakini mtoto wa mtumwa ni mtumwa tu hakuna mbadala kwenye hili...
 
Mkuu, kujiita mtoto wa Mkulima sio sababu ya kutokuwa fisadi unaweza kuwa mtoto wa mkulima halafu hapo hapo ukawa fisadi wa kutupwa...

Lakini mtoto wa mtumwa ni mtumwa tu hakuna mbadala kwenye hili...

Nimekupata mkuu,
Hii fomula kwenye utumwa ina-apply,
But kweye ukulima hiyo fomula inatoa jawabu la uongo, maana mifano ya mtu anaejiita mtoto wa mkulima wakati ana elements za kifisadi ipo!!!
 
Hapo unaposema kuwa Vita ya Libya imeendeshwa kwa hela ya walibya wenyewe unakuwa unakiri kuwa utajiri wa Libya ndio umepelekea NTC kupata msaada wa kivita kutoka kwa NATO, na vilevile unamsifia Gaddafi Kwa Kuiwezesha Libya Kuwa na Investment zenye thamani kubwa ndani na nje ya Libya. Kama Ulivyoelezea Kuhusu somali ebu tupe maoni yako kwanini NATO hawawasaidii Yemeni, Palestina nk katika kujikomboa ingawa kunaupinzani unaendelea.

Now you coming ni kweli libya kupitia Gaddafi walikuwa na investment kubwa sana nje ya nchi kiasa cha zaidi ya $150 hiyo ni pesa ya bajeti ya Tanzania kwa zaidi miaka 20 kwa hii bajeti ya Tsh 11 trillion ambazo hata hatuna tunakopa yeye ana Tsh 250 trillion kawekaza nje ya nchi na mapato yake walibya wanapata peanut kama wanavyotufanya BARRICK na makapuni mengine nchi in fact uwezi hata kuuliza hizo pesa kama angewekeza nchi mwake liby ingekuwa Adda Dhabi ya AFRICA hakuna TAIFA lenye hela hiyo Afrika na hiyo ni sehemu tu
lakini angalia maisha ya walibya je ni kweli yana reflect hiyo picha
Ok sio lazima kwamba Gaddafi angewekeza nchini mwake lakini angepeleka mapato halisi nchi mwake hiyo nchi hisingekuwa hapo, alichofanya ni kujenga majumba ya dhahabu na maandaki kila kona
kisha kupiliki majumba ya kifahali huko LONDON ambako walikuwa akiita wanamuziki maarufu na kumburudisha yeye na wana familia yake, moja ya record zina sema supa star mmoja alilipwa $40 milion kwa kumtumbuiza Gaddafi na familia yake hiyo ni sawa bilioni 55 ya kitanzania kwa dakika 40 tu.

walichofanya NATO ni kuondoa sihara za maangamizi na kuvunja vifaa vya kivita vya Gaddafi hiyo ni baada ya kuonywa kuasipige raia wake kwa kutumia siraha nzito alikaidi na kuendelea huku akisema hao ni Al-Qaeda wamevamia nchi yake, ndipo walipoingilia kati na alikuwa mfaransa na mwingereza kabla ya mmarekani kuongeza nguvu.

Nachojaribu kusema hatuwezi kupuuza juhudi za walibya kujikomboa ( initiative yao) na kusingizia hii ni vita ya mafuta huo ni umashariki, walibya walimchoka Gaddafi na habari zote kwenye media ziko hivyo
kukubali kidogo alicho provide Gaddafi ni sawa na kukubaliana na CCM kwamba wameleta maendeleo hali pesa nyingi wamefisadi na wanaendelea kuifisadi hicho ndicho kilichowachosha walibya
Again NATO played supportive tu kuwawezesha kufika hapo, kama sisi tunakubali kuendelea kuliwa na mashirika kama BARRICK sio walibya
 
Nimekupata mkuu,
Hii fomula kwenye utumwa ina-apply,
But kweye ukulima hiyo fomula inatoa jawabu la uongo, maana mifano ya mtu anaejiita mtoto wa mkulima wakati ana elements za kifisadi ipo!!!

We are so slave every happening we throw stones to our old slave masters, we don't talk our future or plan it without them this ha to change Africa can stand on it own if we win ufisadi and Gaddafi type of leadership (familiarness) nepotism
 
AFRIKA BADO YA KITUMWA, TUNAPENDA UTUMWA/UNYONGE

Wandungu salaamu.

Kwa uchungu na umakini leo nimeamua kushika key ili nitume message kwa Watanzania wenzangu, kikubwa hasa kilichonisukuma ni mambo makubwa mawili ambayo ni mapinduzi ya Afrika Kiuchumi na kisiasa.

Kwa ujumla kila kunapotokea mapinduzi barani Afrika hasa kisiasa mataifa ya ulaya uhusishwa nayo hata kama waliofanya hivyo ni waafrika wenye e.g Libya, Misri na N,K

Nimetapa bahati kubwa kuwa na marafiki wanaotoka Libya nimefanya nao mazungumzo wengine wanamchukia Gaddafi kwa namna moja au nyingi kubwa ikiwa kuuliwa ndugu zao na kuishi kwa kutishika, Gaddafi alikuwa hatari kwa maisha yao kuliko UKIMWI

Baada ya mapinduzi kumtoa watu wameusisha mataifa ya ulaya ya kwamba ndio yalikuwa na chuki na Gaddafi na kumwanzishia vita, lakini swali kubwa nalojiuliza kama hayo mataifa yalikuwa na chuki na Gaddafi iweje watu wake wanachukie hivyo kama alikuwa mwema kwao.

Swali wengi wanalouliza, kwa nini Libya na sio Somalia? Tunatakiwa kuelewa ya kwamba walibya waliamua kumtoa dikiteta NATO wakatoa cover zidi ya siraha za maangamizi alizokuwa akitumia Gaddafi, lakini pia vita ya Somalia ni ya aina yake sio kila vita unaweza kujiingiza tu kisa una nguvu, taarifa zinasema Somalia ni hatari kwa sababu ya tawala za kikoo, inaweza kuchukua miaka maana kuna maadui wengi hata ukishinda vita hawa watu hawawezi kukaa meza moja wanachukiana wao kwa wao.

Kwa Tanzania kumekuwa na unyonyaji mkubwa kupitika mikabata ya makapuni ya kigeni hakuna aliyewahi kufungwa au wananchi kupinga kwa nguvu hiyo mikataba au kuwakataa katika jamii waliotuingiza katika hiyo mikataba, tulichofanya ni kuita hiyo mikataba ‘‘UKOLONI MAMBO LEO’’ kisha kulialia tu na kutaka wanaharakati wapigania haki zetu nchi nzima, kisha kushutumu wawekezaji,

Hivi mtu akikuibia mke utamlaumu? Au hiyo ni ishara kwamba huyo mke hakufai, kwa nini kupigana na aliyekuchukulia mkeo!!!!!!!!!

Hayo mataifa tunayo shutumu yamefikishwa hapo na wananchi wake kwa mshikamano katika kupinga uovu na kuweka misingi ya kuwajibika katika jamii yao na utawala hawategemei taifa au mtu kutoka nje kuwasaidia kupigania haki zao sisi hatuna maamuzi.

Tunaweza kulia na marekani mpaka mwisho wa dunia lakini tujue wao wana haki ya kufanya wanachofanya ( HAKI YA KUCHAGUA RAFIKI NA MAIDU) tuondoe utegemezi kifrika na kiuchumi tusimame kama sisi waarabu/asia wameweza

Tumewategemea sana USA kwa kila kitu na ndio maana tunawalalamikia hata kwa mambo wasiyohusika nayo, kama sisi waafrika tungekuwa na utu na umoja tungemwambia Gaddafi hasitumia siraha kali za maangamizi zidi ya raia wake, lakini kwa sababu wengi walikuwa mfukoni mwa Gaddafi ndio maana tunalia na Uonevu zidi yake na kusahau mchango wetu,
hivi huna chakufanya? kwanini umetujazia pumba na kutupotezea muda? Mods kama kuna uwezekani naomba watu kama hawa wawe wanapewa onyo ikiwa ni pamoja na kupigwa ban kwa muda fulani ili wasirudie kutupotezea muda. Jitu zima hovyo kabisa.
 
hivi huwa na chakufanya? kwanini umetujazia pumba na kutupotezea muda? Mods kama kuna uwezekani naomba watu kama hawa wawe wanapewa onyo ikiwa ni pamoja na kupigwa ban kwa muda fulani ili wasirudie kutupotezea muda. Jitu zima hovyo kabisa.

FAILURE aisee
weka hoja yako au nyamaza na wewe ni dikiteta tena duh
 
Wewe mleta mada unazungumzia Kitu gani! Hizo asset za Libya walizofreeze ziliwekezwa chini ya uongozi wa nani?. wewe unadhani ukiwa na Cash basi unaanza tu kujenga magorofa na mahighway na mauniversity na mablahblahblah mengine!, mambo yanaanza kwa plan na inakuwa implemented time after time.

Wewe unaijua Great man made Libya ya Libya?. hayo ni maji yaliyotolewa chini ya jangwa la Sahara na kuisuply Libya nzima, 30 billion dollars pesa ya Walibya wenyewe bila mkopo wa IMF wala World Bank ilitumika katika hiyo project halafu unaleta habari za Abu dhabi, wewe unafikiri Abu dhabi wana cha nini zaidi ya Libya?. women literacy nani anaongoza katika hizo nchi mbili, ni nchi gani ina good coverage ya medical care katika hizo nchi mbili?.

kwa taarifa yako 30 billions dollars zilizokuwa freezed na Obama zilikuwa zitumike kulaunch AFRICA MONETARY FUND ambayo ingeikomboa Africa kutoka katika minyororo ya IMF.

Unaijua First Africa Telecommunication Sattelite?, Ghadafi alitoa dolar million 300, kama si hivyo gharama za Simu zisingeshikika na si ajabu mimi na wewe ndo kwanza labda hivi sasa ndo tungeanza kujua maana ya kutumia mobile phones.

Unafahamu ni kwa nini Nelson Mandela alijipa tabu kusafiri kwa Gari kwenda kuonana na Ghadafi?. ni kwa sababu Gadafi alisaidia sana Financiallly harakati za kupambana na apartheid regime.

Unajua ni kwa nini Wafaransa wakawa msitari wa mbele kumpiga Gadafi?. ni kwa sababu alikuwa akisaidi wapambanaji waliokuwa wakipambana na France installed regimes katika francophone countries.

Wake up ndugu yangu. The big Picture siyo Ghadafi as Ghadafi, the big picture ni colonization of Libya for OIL and eventually recolonization of Africa, Ghadafi alikuwa ni kikwazo tu cha mipango yao na hivyo wamemuondoa ili watimize malengo yao!.

Sasa kama wewe unaona sawa , NATO kubomb Universities, Kubomb Mahospitali, Kubomb Nyumba za Watu, Kuuwa Watu na Familia zao, basi ni vigumu kuelewa essence ya resistance kwa mtu shujaaa kama colonel Ghadafi.
 
Mkuu Gamba la Nyoka

Wewe mleta mada unazungumzia Kitu gani! Hizo asset za Libya walizofreeze ziliwekezwa chini ya uongozi wa nani?. wewe unadhani ukiwa na Cash basi unaanza tu kujenga magorofa na mahighway na mauniversity na mablahblahblah mengine!, mambo yanaanza kwa plan na inakuwa implemented time after time.

nilikuwa na maana hiyo fedha angewekeza libya badala ya kukimbiza nje, kwa nini alikuwa anawekeza nje ya nchi yake hasa afrika!!!! libya si hiko Afrika na wanamatatizo ya Ajira yeye anawapa peanut kujikimu angewawezesha walibya kwanza

Wewe unaijua Great man made Libya ya Libya?. hayo ni maji yaliyotolewa chini ya jangwa la Sahara na kuisuply Libya nzima, 30 billion dollars pesa ya Walibya wenyewe bila mkopo wa IMF wala World Bank ilitumika katika hiyo project halafu unaleta habari za Abu dhabi, wewe unafikiri Abu dhabi wana cha nini zaidi ya Libya?. women literacy nani anaongoza katika hizo nchi mbili, ni nchi gani ina good coverage ya medical care katika hizo nchi mbili?.

kwa taarifa yako 30 billions dollars zilizokuwa freezed na Obama zilikuwa zitumike kulaunch AFRICA MONETARY FUND ambayo ingeikomboa Africa kutoka katika minyororo ya IMF.

kuchimba majini ni jukumu la serikali si hela hipo na sijasema kwamba walibya ni masikini hata sehemu moja ila nimesema Gaddafi amewarudisha nyuma kwa kuwekeza pesa yao nje ya nchi nakuigawa kwa marafiki zake bila hidhini yao ndio maana wamemtoa tusiwasingizie wakoloni kwa sababu tulikuwa watu kila kitu ni wao, mapinduzi ya libya ni ya kujivumia kwa walibya, sisi tunasimama wapi tunapoibiwa na BARRICK kupitia kwa mafisadi

hiyo 30 billion unayosema kwa plan ya tanzania ya miaka mitano serikali yetu iliyonayo haitoshi sasa inakuwaje itoshe kwa afrika nzima!!!! na wangetoa kwa masharti yepi kwenye hiyo AFRICA MONETARY FUND yangekuwa nafuu kuliko IMF kuna nchi ngapi za Afrika zinanyonya nyingine ukianza na South Africa, na hizo pesa walibya walikuwa wamekuba zitolewe huko kwenye AMF , kumbuka hizo sio pesa za Gaddafi ni hela ya walibya wote au wewe unashangilia tu kwa sababu ungekuja kama msaada bila kujua masharti yake ni yapi

Unaijua First Africa Telecommunication Sattelite?, Ghadafi alitoa dolar million 300, kama si hivyo gharama za Simu zisingeshikika na si ajabu mimi na wewe ndo kwanza labda hivi sasa ndo tungeanza kujua maana ya kutumia mobile phones.
South ndio Nchi ya kwanza Afrika kuwa na Sattelite na kwa wakati huo libya ilikuwa bado kwenye vikwazo

Unafahamu ni kwa nini Nelson Mandela alijipa tabu kusafiri kwa Gari kwenda kuonana na Ghadafi?. ni kwa sababu Gadafi alisaidia sana Financiallly harakati za kupambana na apartheid regime.

Unajua ni kwa nini Wafaransa wakawa msitari wa mbele kumpiga Gadafi?. ni kwa sababu alikuwa akisaidi wapambanaji waliokuwa wakipambana na France installed regimes katika francophone countries.
Hatuongelei fadhila hapa Mandela ni mtu naye anaweza kuwa na personal attachment zake, sana wewe unathibitisha mawazo ya kitumwa ninayoongelea tuwe na fikra huru sio kwa sababu imefanyika na mandela basi ni sahihi, tusiwe educationalist

Wake up ndugu yangu. The big Picture siyo Ghadafi as Ghadafi, the big picture ni colonization of Libya for OIL and eventually recolonization of Africa, Ghadafi alikuwa ni kikwazo tu cha mipango yao na hivyo wamemuondoa ili watimize malengo yao!.

Sasa kama wewe unaona sawa , NATO kubomb Universities, Kubomb Mahospitali, Kubomb Nyumba za Watu, Kuuwa Watu na Familia zao, basi ni vigumu kuelewa essence ya resistance kwa mtu shujaaa kama colonel Ghadafi.
NATO walitumia intelligence/ security info ku bomb libya hayo mabomu unayoongelea coordination yake ni ghali sana na ughali muda pia wewe unaona ni vyuo na hospitali lakini haikuonekana hivyo kijeshi NATO hawakuwa na shida ya kuibomo libya bali kutoa cover kwa NTC it was well planned hakuna propoganda kwenye mambo serious kama haya.
Kama kuna mtu ana amini Gaddafi ana big picture wrong,
Gaddafi alikuwa anagombana na kila leader alikuwa na migogoro mingi kutimiza ndoto zake za kuitawala Afrika kwa kutumia pesa ya libya bila lidhaa ya walibya lakini pia kuwanunua viongozi wetu walafi wa afrika, aliwahi kuwalipia hata ghalama za uanachama AU hii ni nini?
kama yeye alitengeneza maadui hiyo ni juu yake
Mimi nachoongelea ni Libya kwa Libya mambo yote aliyofanya libya sio favour ni haki na hakupaswa kugawa hela yao ndio maana wamemkata na hiyo ni moja ya sababu fanya utafiti utagundua walibya walichoshwa na Gaddafi kwa kugawagawa pesa yao agian wangekuwa kama Adu Dhabi chunguza tena libya uwezi kuifananisha na Abu Dhabi ndugu
 
Back
Top Bottom