Mtoto wa "Mtoto wa Mkulima"

Kifaranga

Senior Member
Jan 6, 2011
144
31
Nimesikia kwamba mtoto wa kiranja mkuu a.k.a "mtoto wa mkulima" anasoma shule ya 17,000,000/= kwa mwaka (St Consta iliyopo Arusha), wakati akaunti yake alisema ina 20,000,000/=

Naomba kuwakilisha wana JF
 
tupe source au tushawishi tuamin anasoma hapa.

ILA PINDA ni walewale mafisadi haitashangaza
 
well...hivi kweli waziri mkuu ambaye ni mkulima atashindwa kumlipia mwanawe shule hizo milioni 17?

mshahara wake pamoja na savings zake na mikopo ya benki kwen]li huyu bwana tashindwa?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

lakini hii naona mtoto wa mkulima anaitikia ule msemo wa IF YOU THINK EDUCATION IS EXPENSIVE TRY IGNORANCE!

Surely for a forum with GREAT THINKERS one would have expected watu wanaangalia mambo kwa marefu na mapana.

anyway I learn something new kila ninaposoma posts za humu ndani

whats next?
 
Nimesikia kwamba mtoto wa kiranja mkuu a.k.a "mtoto wa mkulima" anasoma shule ya 17,000,000/= kwa mwaka (St Consta iliyopo Arusha), wakati akaunti yake alisema ina 20,000,000/=

Naomba kuwakilisha wana JF

Hii ADA mbona inakaribia sana na Oxford University au MIT? Au umekosea kuandika tarakimu?
 
aiseeeeeeeeeeee....ndo atajua uchungu wa shule za kata kukosa maabara,madawati na walimu??kazi kweli kweli!
 
well...hivi kweli waziri mkuu ambaye ni mkulima atashindwa kumlipia mwanawe shule hizo milioni 17?

mshahara wake pamoja na savings zake na mikopo ya benki kwen]li huyu bwana tashindwa?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

lakini hii naona mtoto wa mkulima anaitikia ule msemo wa IF YOU THINK EDUCATION IS EXPENSIVE TRY IGNORANCE!

Surely for a forum with GREAT THINKERS one would have expected watu wanaangalia mambo kwa marefu na mapana.

anyway I learn something new kila ninaposoma posts za humu ndani

whats next?

Hapa WEWE ndo unaonyesha uelewa wako ni mdogo sister...

Hapa kwa mtu kama Pinda ambaye NI KIONGOZI MKUBWA serikalini ... watu tunachojiuliza kwa nini KWA KUTUMIA NAFAS YAKE ASIWE NA MIPANGO ILIYO BORA KATIKA kuboresha elimu ya UMMA??

Kwa mantiki hiyo... Pinda kwa kumsomesha mtoto wake hapo, ina maana FIKRA ZA KUZIBORESHA SHULE za umma ni ndoto, ndo maana kamkimbiza huko.Hatukatai kuwa hawezi kukosa hiyo hela, na kumsomesha mtoto wake ila NI PICHA KUWA HAWEZI KUWA NA FIKRA ZA KUENDELEZA au kuwa na mipango ya kuendeleza shule za umma.

Tazama wakina Makongoro,Madaraka,watoto wa sokoine nao walisoma shule za umma kwa kuwa ziliendelezwa na kujaliwa na serikali, NA UKUMBUKE KIPINDI HICHO zilikuwepo shule za ukweli kama TIS,IST nk.

Tafakari sister na usione mtazamo wako ulipofikia ndo uchambuzi yakinifu.

nawasilisha
 
Nimesikia kwamba mtoto wa kiranja mkuu a.k.a "mtoto wa mkulima" anasoma shule ya 17,000,000/= kwa mwaka (St Consta iliyopo Arusha), wakati akaunti yake alisema ina 20,000,000/=

Naomba kuwakilisha wana JF

kwani kusoma shule mbovu ni sifa?
 
mmh! huyu pinda kacharuka kweli,yani sasa hivi ndo kauvamia ufisadi kumshinda hata lowassa,..every body got the price,..inaonekana katangaziwa dau kubwa kweli na mafisadi,mi namuona pinda hatari zaidi kwa nchi hii kuliko hata lowassa,.kila asubuhi anaongea pumba..hiyo ada inawezekana saed kubenea alisema anamiliki sumry buses,.mshahara wangu kwa mwaka ni milion1.3 TGSD
 
Hapa WEWE ndo unaonyesha uelewa wako ni mdogo sister...

Hapa kwa mtu kama Pinda ambaye NI KIONGOZI MKUBWA serikalini ... watu tunachojiuliza kwa nini KWA KUTUMIA NAFAS YAKE ASIWE NA MIPANGO ILIYO BORA KATIKA kuboresha elimu ya UMMA??

Kwa mantiki hiyo... Pinda kwa kumsomesha mtoto wake hapo, ina maana FIKRA ZA KUZIBORESHA SHULE za umma ni ndoto, ndo maana kamkimbiza huko.Hatukatai kuwa hawezi kukosa hiyo hela, na kumsomesha mtoto wake ila NI PICHA KUWA HAWEZI KUWA NA FIKRA ZA KUENDELEZA au kuwa na mipango ya kuendeleza shule za umma.

Tazama wakina Makongoro,Madaraka,watoto wa sokoine nao walisoma shule za umma kwa kuwa ziliendelezwa na kujaliwa na serikali, NA UKUMBUKE KIPINDI HICHO zilikuwepo shule za ukweli kama TIS,IST nk.

Tafakari sister na usione mtazamo wako ulipofikia ndo uchambuzi yakinifu.

nawasilisha

mambo mengine ni ya kiifamilia zaidi! huwezi kujua walikubaliana vipi na mkewe/familia yake! Waziri Mkuu pinda ana maisha yake binafsi kama binadamu na ana haki ya kuishi na kuamua atakavyo kuhusu familia yake
 
hapa wewe ndo unaonyesha uelewa wako ni mdogo sister...

Hapa kwa mtu kama pinda ambaye ni kiongozi mkubwa serikalini ... Watu tunachojiuliza kwa nini kwa kutumia nafas yake asiwe na mipango iliyo bora katika kuboresha elimu ya umma??

Kwa mantiki hiyo... Pinda kwa kumsomesha mtoto wake hapo, ina maana fikra za kuziboresha shule za umma ni ndoto, ndo maana kamkimbiza huko.hatukatai kuwa hawezi kukosa hiyo hela, na kumsomesha mtoto wake ila ni picha kuwa hawezi kuwa na fikra za kuendeleza au kuwa na mipango ya kuendeleza shule za umma.

Tazama wakina makongoro,madaraka,watoto wa sokoine nao walisoma shule za umma kwa kuwa ziliendelezwa na kujaliwa na serikali, na ukumbuke kipindi hicho zilikuwepo shule za ukweli kama tis,ist nk.

Tafakari sister na usione mtazamo wako ulipofikia ndo uchambuzi yakinifu.

Nawasilisha

spoken like an intelectual,..
 
Milioni 17 = $11,000 ambazo mtoto wa mkulima anaweza kupata kwenye kadi ya "Happy New Year" au trip moja to Japan.

Sio hela kubwa sana, halafu alichokisema yeye ni kwamba ana Mil 25 benki ila hakusema nyumbani anazo ngapi in cash.

Hapa zile za kina Kayumba a.k.a Msondo Ngoma zitasubiri mpaka kiama ili zifanane na St. RealMan a.k.a FM Academia
 
Milioni 17 = $11,000 ambazo mtoto wa mkulima anaweza kupata kwenye kadi ya "Happy New Year" au trip moja to Japan.

Sio hela kubwa sana, halafu alichokisema yeye ni kwamba ana Mil 25 benki ila hakusema nyumbani anazo ngapi in cash.






Spoken like a typical mbongo !
 
Sio hela kubwa sana, halafu alichokisema yeye ni kwamba ana Mil 25 benki ila hakusema nyumbani anazo ngapi in cash.




Spoken like a typical mbongo ![/QUOTE]

Iramusm wala hujakosea,

Mapato halali ya waziri mkuu yanatosha sana kusomesha mtoto kwa kiwango hicho taking into account that PM utility and related bills are covered by the state.
Tunapishana vipato kama ambavyo wewe waweza kuwa umevaa kiatu ambacho ni zaidi ya mshahara wa mtu.

Issue hapa ni picha gani PM anapeleka kwa anaowaongoza iwapo kajenga maskuli lakini yeye anapeleka mwanae kwingine??
 
Hapa WEWE ndo unaonyesha uelewa wako ni mdogo sister...

Hapa kwa mtu kama Pinda ambaye NI KIONGOZI MKUBWA serikalini ... watu tunachojiuliza kwa nini KWA KUTUMIA NAFAS YAKE ASIWE NA MIPANGO ILIYO BORA KATIKA kuboresha elimu ya UMMA??

Kwa mantiki hiyo... Pinda kwa kumsomesha mtoto wake hapo, ina maana FIKRA ZA KUZIBORESHA SHULE za umma ni ndoto, ndo maana kamkimbiza huko.Hatukatai kuwa hawezi kukosa hiyo hela, na kumsomesha mtoto wake ila NI PICHA KUWA HAWEZI KUWA NA FIKRA ZA KUENDELEZA au kuwa na mipango ya kuendeleza shule za umma.

Tazama wakina Makongoro,Madaraka,watoto wa sokoine nao walisoma shule za umma kwa kuwa ziliendelezwa na kujaliwa na serikali, NA UKUMBUKE KIPINDI HICHO zilikuwepo shule za ukweli kama TIS,IST nk.

Tafakari sister na usione mtazamo wako ulipofikia ndo uchambuzi yakinifu.

nawasilisha

Kwani JohnGalt ni sister?
 
Pinda kapinda toka anuse harufu ya kifisadi akili yake imepinda kuelekea kwenye ufisadi, hatauwezo wake wa kutoa speech siku hizi umepinda ili kuwaremaba mafisadi na kuwadanganya watanzania.

Yaani kapindishiwa mawazo yake kuelekea ufisadi unajua ukitangaziwa dau na mafisadi utaropoka chochote kumbuka Mramba alipotangaziwa dau alisema hata tukila nyasi ndege ya rais itanunulliwa
 
kwa nini asimpeleke yusuph makamba sec school shule ya kata mabibo external?
 
Back
Top Bottom