RUJEINER
Senior Member
- Jan 18, 2018
- 129
- 152
Habari zenu.. natumain ni wazima wa afya na wale wagonjwa poleni Mungu atawaponya.
Nina mtoto wa miezi mitatu huyu mtoto shida yake kwenye ukuaji yaan haongezeki kilo..alipata shida kidogo wakati alipozaliwa alikua hataki kunyonya ila baada ya wiki moja mbele alianza kunyonya..kwa sasa ana kilo 4 tu.
Ushaur wenu nifanye nini ili mtoto huyu aongezeke na akue.
Asanten.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nina mtoto wa miezi mitatu huyu mtoto shida yake kwenye ukuaji yaan haongezeki kilo..alipata shida kidogo wakati alipozaliwa alikua hataki kunyonya ila baada ya wiki moja mbele alianza kunyonya..kwa sasa ana kilo 4 tu.
Ushaur wenu nifanye nini ili mtoto huyu aongezeke na akue.
Asanten.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app