Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,012
Kuna namna hapa, obviously. Sasa imani inaanza kunipaa. Kuna big chance Liyumba ni mtu powa sana ila kuna mpango mzima wa kumdemonize yeye na familia yake. This is bongo, semi-anarchy state.
...vijana wanaangamia jamani, taifa laenda wapi hili! Shiiiit...
Hilo nalo neno... Nani wa kuchoma moto mijihela..?Wakikamata bangi wanateketeza kwa moto wakikamata unga hatujawahi ona wakiteketeza au ndo dili la mapolisi nao kushiba?
Hilo nalo neno... Nani wa kuchoma moto mijihela..?
huyo kachomwa tu na nanhiii....mbona hata nanhiii nasikia nae anafanya hayo makitu...?? nasikia waliwachoma wale wa pakistan waliokamatwa mbezi beach kisa walizinguana mgao....washua wengi hapa town wanajeuri kutokana na hayo mambo....R.I.P amina chifupa manake yawezekana kwenye ile list yake hawa nao walikuwemo.
Ana miaka 21 tu, ameshikwa na heroin kilo 200 zenye thamani ya Shilingi bilioni 9. Amekamatwa huko Lindi jana. Kwa mujibu wa polisi kitengo cha madawa, hii imevunja rekodi tangu kitengo hicho kilipoanzishwa mwaka 1990. Kama binti wa Liyumba ni dealer, vp baba yake? Vp na wengine?
Source: Nipashe/Mwananchi.
Mods waruhusu tuwataje hili wawekewe mitego,wale jamaa wa mbezi jogoo waliokamatwa na mapodaaaa ni watu wa bata ndefu asubuhi utawakuta wapo mbele ya gadeni na machupa ya litre 1.5 na magazeti wanakula upepo kwa ndani kuna DCM imepaki,na magari mengine madogo,hawa watu wanaua rasilimali watu wa taifa letu
kwa vyovyote hayuko peke yake nadhani kuna wakubwa wengi tu. hu ni mwanzo wa ufunuo wa kujua mengi zaidi
Hizi sio njama kweli? I sniff something, sio kama ya mtoto wa Mengi hii? Ngoja tuone...
No si lazima Liyumba awe anahusika katika hili naomba nimtetee,liyumba ana yake lakini kwa hili hapana kutokana mazingira alokuwepo sasa,huyu dogo ni above 18,ni msichana mkubwa kabisa.Dogo atakuwa alitumwa kwenda kumpokea mtu dizaini mozambuque. ngoja niwang'ate sikio but sitaki maswali kwamba nimejuaje!
Iko hivi,wasfirisha wa madawa wana njia nyingi,za kuwakwepa askari,kinachofanyika hapa ni kwamba kuna mtu anaetumwa kwenda kuchukua mzigo pele(brazil)au musharaf(pakistan)kupitia iran,huyu akishapakia mzigo(dawa za kulevya)anapanda ndege mpaka may be Dubai au nchi za kusini mwa africa kama hapa kwa kesi ya mtoto wa Liyumba kutokana na aliposhikiwa hapo lindi inaonyesha kuna mtu alitoka shamba akashukia mozambique,huyu mtu alitoka na mzigo brazil ama pakistan/iran kazi yake inaisha baada ya kushuka airport ya moja ya nchi nilizozitaja hapo juu amabako hashuki ovyo ovyo lazima kunakua na mchongo wa kushukia hapo yani mabosi wake wanakuwa wameshaseti mambo hapo airport husika hivto jamaa anashuka hapo salama na kuingia mjini then anachukua hotel.Hapo sasa anatumwa kijana kama huyu wa liyumba kutoka hapa bongo na passport yake ya karatasi anasafiri kwa njia ya barabara napita boda ya tz na mozambique anagonga passport yake hiyo ya karatasi kama kawaida hapo boda then aningia mozambique anakwenda mpaka kweny hiyo hoteal aliyofikia yule aliyetoka shamba,hapo wanabadilisha na mzigo huyu dogo aliyetoka bongo anauchukua mzigo then anatambaa nao kivyake kwa njia ya barabara anapita pale boda anagonga muhuri wa kumtoa mozambique huyo anaingia zake Tanzania bila kushukiwa na yeyote kwa kuwa wanajua alienda mara moja mozambique tena na ppt ya karatasi,basi anasafiri mpaka dar anakabidhi mzigo anakula milioni zake 5! kwa safari hiyo ya siku kama 3 tu!lengo la kwenda kumpokea yule ni kuficha ile mihuri ya visa za pele au musharaf zisionekana maana visa za nchi hizo zinajulikana na watu wa madawa,brazili utaenda kufanya nini kama sio madawa tu..?
Habari ndio hiyo,maswali yanakaribishwa,naipenda nchi yangu,nimeamua kusaidia kidogo,ila usinilulize tu nimejuaje!