Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,744
kwa mwendo huu tutawapata kina amina cchifupa wengi. Maslahi ya wakubwa noma
shigongo na vijana wake kazini!!!habari gani hii sasa wapi majina ya watuhumiwa?walikamatwa trh?mwezi?mwaka?...otherwise ni uzushi wa magazeti ya shigongo
Hayo majina ya vigogo yapo wapi?? au walitaka tu kuuza gazeti??
kama kamanda mkubwa wa jeshi letu anaishi kwa hofu kiasi hiki je mwananchi wa kawaida atawezaje kuwa huru
Habari iko nusu mana majina yao hayajatajwa. Naondoka na sirudi
SAKATA la Morine Liyumba ambaye ni binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba, kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga', linawahusisha vigogo 10 Bongo. Vyanzo visivyo na shaka vimelitajia Amani majina 10 ya vigogo ambao wanahusika katika mtandao ambao ndiyo uliokuwa unasafirisha madawa hayo ya kulevya kabla ya kukamatwa na Jeshi la Polisi Tanzania, Lindi.