Mtoto wa kwanza ndiye mwanafamilia halisi wengine ni janja ya mama

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wanna Jf,

Kumekuwepo malumbano mengi kwenye familia na manunguniko juu ya uzao wa watoto wakati. Watoto wengi wa kati au mwisho tukichukua DNA Zao huenda familia nyingi zitapalanganyika. Kwa hivi sasa kifaa hiki kimeleta misukosuko Sana kwenye familia kutokana na wamama wengi kuchepuka na kupata mimba za nje ya ndoa A.K.A. kitanda akizai haramu.
Sababu za kuchepuka nyingi ni za makusudi
Wengine wanapenda kuweka kumbukumbu za wapenzi wao wa zama I.
Wengine wanakwepa magonjwa ya kuridhi kama pumu kifua Kikuu na n.k.
Wengine utafuta uzao wa familia zenye akili nyingi ili ziinue zilizolala.
Wengine kulipiza kisasi kwa mme aliyechepuka.
Wakina baba wazamani kwa kulitambua hilo huwa awapigi kelele Bali huwaita majina Fulani ya ajabu kufuatana na tukio. Wengi huwafananisha sana na familia yao ya zamani kama mjomba shangazi n.k.
Je wakina mama mko sahihi kiasi hiki kwa mnayotufanyia kwa yaliyotajwa?
 
Eeeeeh! hayo c ya kweli kama mtu umekubali akuoe kwann uzae nje? Mnawacngizia wakina mama bure
 
wazee wenye hekima husema,usihoji sana kutaka kumjua baba yako.siku mama atakapo amua kukuonyesha unaweza ishiwa nguvu hasa pale utakapo ngundua kumbe baba yako alikuwa ni shambaboy toka kijijini.ali cheat na mama yako wakati mumewe yu safarini.
vitu vingine si vya kuhoji, bora ufe ukiwa hujavijua.
 
KITANDA HAKIZAI HARAMU HATA SIKU MOJA! Whoever your father is hizo ni mistake za mama yako! As the child you cant change your past but you can sure as hell make your own destiny n a biright future!
 
KITANDA HAKIZAI HARAMU HATA SIKU MOJA! Whoever your father is hizo ni mistake za mama yako! As the child you cant change your past but you can sure as hell make your own destiny n a biright future!

gwarn lara1.you large.
 
Mleta hoja ana hasira na wadogo zake. mgt software,kwa nini unawasingizia wadogo zako kuwa wanaharamu? Tafuta pesa zako, achana na hela za urithi. Naona unataka urithi wote mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Thread iko bias sana kwa maeneo ya mijini...

sie wa huku mashambani, uchepukaji ni mdogo sana mpaka kufikia hatua ya kuzaa na mke wa mtu, lazima tukubambe tu!
 
Thread iko bias sana kwa maeneo ya mijini...

sie wa huku mashambani, uchepukaji ni mdogo sana mpaka kufikia hatua ya kuzaa na mke wa mtu, lazima tukubambe tu!

Mashambani ndio zaidi wakinana kwa kukwepa magonjwa au unakuta familia Fulani watoto huwa hamnazo mama anachanganya makusudi ili kuboresha familia
 
Wanna Jf,

Kumekuwepo malumbano mengi kwenye familia na manunguniko juu ya uzao wa watoto wakati. Watoto wengi wa kati au mwisho tukichukua DNA Zao huenda familia nyingi zitapalanganyika. Kwa hivi sasa kifaa hiki kimeleta misukosuko Sana kwenye familia kutokana na wamama wengi kuchepuka na kupata mimba za nje ya ndoa A.K.A. kitanda akizai haramu.
Sababu za kuchepuka nyingi ni za makusudi
Wengine wanapenda kuweka kumbukumbu za wapenzi wao wa zama I.
Wengine wanakwepa magonjwa ya kuridhi kama pumu kifua Kikuu na n.k.
Wengine utafuta uzao wa familia zenye akili nyingi ili ziinue zilizolala.
Wengine kulipiza kisasi kwa mme aliyechepuka.
Wakina baba wazamani kwa kulitambua hilo huwa awapigi kelele Bali huwaita majina Fulani ya ajabu kufuatana na tukio. Wengi huwafananisha sana na familia yao ya zamani kama mjomba shangazi n.k.
Je wakina mama mko sahihi kiasi hiki kwa mnayotufanyia kwa yaliyotajwa?

mara nyingi mtoto wa mwanzo huwa ni wa mume husika, sababu ni kwamba mtoto anapatikana wakati mapenzi ya mke na mume bado ni motomoto. Watoto wanaofuatia huzaliwa wakati mikwaruzo mingi imeshatokea na mapenzi yamepungua, hivyo ni rahisi mama kuwa na mwanaume nje wa kumliwaza na matokeo yake huwa wanapigwa mimba nje ya ndoa.

Hata hivyo wamama wengi huwa wana cheat na wanaume ambao angalau wanafanana na waume zao, hivyo ni mara chache mume kugundua kuwa ameibiwa,
 
mara nyingi mtoto wa mwanzo huwa ni wa mume husika, sababu ni kwamba mtoto anapatikana wakati mapenzi ya mke na mume bado ni motomoto. Watoto wanaofuatia huzaliwa wakati mikwaruzo mingi imeshatokea na mapenzi yamepungua, hivyo ni rahisi mama kuwa na mwanaume nje wa kumliwaza na matokeo yake huwa wanapigwa mimba nje ya ndoa.

Hata hivyo wamama wengi huwa wana cheat na wanaume ambao angalau wanafanana na waume zao, hivyo ni mara chache mume kugundua kuwa ameibiwa,

Kwa kujua kwamba wanawake waaminifu ni wachache ndio maana Mwali hapo zamani hata sasa vijiji mwanamke haonekani kwa MTU yeyeto mpaka atoke amepata mimba ikishindikana anapewa madawa chini ya uangalizi mkali hadi kieleweke .
Hata hivyo utamaduni unabadirika kutokana na mazingira ya kazi, mfano ukioa serikali inakupa likizo mwezi mmoja tu. Mwanamke kutokana namazoea kazini pamoja na kupunguziwa ulinzi baada ya mtoto wa kwanza wengi hukumbushia boyfriend wa zamani.
Dawa kamili
Wakiumeni tusiogope kuwapa mimba za fasta kuogopa kulea eti wanapishana miaka mitatu. Inabidi wapishane hata miezi 9 wakifika watatu acha atayefuata wa NNE awe wa mwisho yule ndiye siri ya mama halisi ndio maana wengi udekezwa sana yaani watoto wa mama.
 
Back
Top Bottom