MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,167
Mkuu mambo mengine kupata majibu, inatakiwa kiwango cha Imani kwa Neno la Mungu..Na serikali inawatambua rasmi kama taasisi gani?
Huduma wanatoa sadaka, kwa hiari.
Mkuu mambo mengine kupata majibu, inatakiwa kiwango cha Imani kwa Neno la Mungu..Na serikali inawatambua rasmi kama taasisi gani?
Unajua kabla sijaingia kwenye mahusiano nilijua ni raha tu mkuu..We acha tu ndugu, hawa viumbe wanatusababishia disappointment kubwa sana, ukiweza kustabilize bila madhara makubwa shukuru Mungu. Ila naamini wengi wanatumiwa na ibilisi kuvuruga uzao wa kiume
Analo "dhehebu" la kijanjajanja...ana akili sana. Sadaka anakusanya, mafungu ya kumi anakusanya, utasemaje kuwa hana dhehebu lake binafsi? Semina zake ndio ibada zake, amecheza na akili tu ili asigombane na Lutheran lakini analo kanisa lake linaitwa Mana Ministry!
Hivi alishindwa kuona maono juu ya kifo cha mwanae?
Duuu Lilian huyu sio ?Naona sasa nafsi itakuwa inakusuta sana kwa kumsababishia kifo kutokana na msongo wa mawazo
Pamoja na jamaa kukupenda kote kukubali kumlea mtoto wako uliezaa na jamaa aliyekukimbia bado ukamuona boya???
Huku upo nae huku ametangaza ndoa huku unaenda kutoka na danga la kizungu??
Na bila haya now umeweka picha ya kuomboleza kwa dp yako whatsapp wakat unajua fika stress za kukufumania ndio chanzo cha kufa
Utakuja kufa vibaya wewe bila kufunga mdomo
ameweza kumalizia, Mungu aendelee kuwa faraja yakeYes mwenyew nasubili kuona kama ata cancel semina au ataendelea nayo ni jaribu kubwa sana uwiiii
Ahaaaahaaa ...cheeers!Unajua kabla sijaingia kwenye mahusiano nilijua ni raha tu mkuu..
Yaani nikagundua kama ukilipenda li mwanamke usilionyeshe ndgu....likijua kuwa unalipenda litakutesa mno.
Mimi ninalo limoja ninalipenda kweli ila mpaka leo halijui ndo maana sina stress...halafu ukiona umeshindwa kabisa nakushauri jaribu kuwa na wawili hivi kama alternative...linaweza kukuacha ghafula ukaumia mpaka unakufa.
In short usimtegemee sana mwanamke uliyenaye .
ASANTE
AminaKumtumikia Mungu ni sawa na kutangaza vita. Vita dhidi ya mfalme wa giza na mawakala wake. Katika kuhofia kushindwa, shetani hujiinua, na kuanza uchonganishi, kwa lengo la kuharibu uhusiano Kati ya Mungu na mwanadamu Ay. 1:9 , Ay. 1:11. Hivyobasi kutokana fitna hizo , wakati mwingine Mungu huruhusu shetani kuleta majaribu ili tuu akapate pia kumpima mwanadamu Imani yake kwake. Ay.1:12.
Maana ya Ministry ni Huduma, huduma sio kanisa mkuu usichanganye mambo au wewe ni muislamu halafu unataka uelezee mambo ya wakistroAnalo "dhehebu" la kijanjajanja...ana akili sana. Sadaka anakusanya, mafungu ya kumi anakusanya, utasemaje kuwa hana dhehebu lake binafsi? Semina zake ndio ibada zake, amecheza na akili tu ili asigombane na Lutheran lakini analo kanisa lake linaitwa Mana Ministry!
Ni nani mkuuSIO aliyekuwa ----> NI
JoshuaNi nani mkuu
Huyu kijana marehem alikuwa anajishughulisha na mambo gani haswaa?
dogo baada ya kumaliza masters yake marekani aliajiriwa World Bank hapa Dar