The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,427
Hivi wewe mtoto wa kiume straight unakuaje Inspired wa mafanikio kutoka kwa Mwanamke au Shoga.
Yani unakuta mwanaume kabisa anasema anatamani kuwa pesa na magari kama Jenifa yule muuza nguo Sinza .. mimi sikuelewi
Au unatamani kuwa kama yule lile lichoko li Uncle T.. of course wana mafanikio, tunayaona kupitia mitandao ya kijamaa, na wanatuonesha.
Ila kama mwanaume utakiwa kuwa Inspired na hao watu kabisa..
Mimi nipo Inspired na yule tajiri ya wakihaya Mulokozi, alafu kuna huyu Criss , yule anauza vitu used kwenye minada, jamaa limejipata..
Kazi ni kipimo cha utu.. we are proud
Yani unakuta mwanaume kabisa anasema anatamani kuwa pesa na magari kama Jenifa yule muuza nguo Sinza .. mimi sikuelewi
Au unatamani kuwa kama yule lile lichoko li Uncle T.. of course wana mafanikio, tunayaona kupitia mitandao ya kijamaa, na wanatuonesha.
Ila kama mwanaume utakiwa kuwa Inspired na hao watu kabisa..
Mimi nipo Inspired na yule tajiri ya wakihaya Mulokozi, alafu kuna huyu Criss , yule anauza vitu used kwenye minada, jamaa limejipata..
Kazi ni kipimo cha utu.. we are proud