Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Nilokuwa nimesafiri kwenda kijijini kwetu. Mtandao ulikuwa haupatikani. Leo nimeingia kwenye jiji la mihangaiko.
Nadhani mtakumbuka mashariti ya wazazi wa mtoto wa kitusi yalivyo nishinda na kuamua kumwaga manyanga.
Wiki iliyopita alikuja nyumbani kwetu kijijini akiwa na baba yake. Aisee mtoto kapungua kabisa.
Aliponiona alimwaga machozi na kunikimbilia.
Kwaufupi wameomba msamaha na kusema hayo yote waliyoyasema hayatakaa yatokee.
Sikuwajibu chochote na tunategemea mwezi ujao tukakutane kwenye kikao na wazazi wangu.
Wana JF nifanye nini sasa hapa?
Nadhani mtakumbuka mashariti ya wazazi wa mtoto wa kitusi yalivyo nishinda na kuamua kumwaga manyanga.
Wiki iliyopita alikuja nyumbani kwetu kijijini akiwa na baba yake. Aisee mtoto kapungua kabisa.
Aliponiona alimwaga machozi na kunikimbilia.
Kwaufupi wameomba msamaha na kusema hayo yote waliyoyasema hayatakaa yatokee.
Sikuwajibu chochote na tunategemea mwezi ujao tukakutane kwenye kikao na wazazi wangu.
Wana JF nifanye nini sasa hapa?