Tupe chanzo na vile vile wewe mleta hii habari ni muongo mkubwa ila ni chuki za kidini zinakusumbua kichwani na kujaribu kukuza usichokijuwa
Tupe chanzo na vile vile wewe mleta hii habari ni muongo mkubwa ila ni chuki za kidini zinakusumbua kichwani na kujaribu kukuza usichokijuwa
Ebu tueleze huyo mtoto anauhusiano gani na makanisa kutaka kuchomwa?
Kijana wa kiislam aliyejulikana kwa jina moja la Farid amefikishwa mahakamani baada ya kukojolea quran na kumvisha paka tasbihi.
Source: wapo radio
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hajageuka kuwa mjusi? Wachome misikiti sasa
hilo linawezekana, kama iliwezekana mtu kujiteka mwenyewe ili vurugu zianze kwa nini isiwe hili.
Ahaaa! Wapo radio, nangoja nisikie kwenye vyombo vyengine vya habari, hiyo radio siiamini hata kidogo.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Jason Borne, are you serious???? Muuislamu akojolee msahafu wa Kiislamu halafu hasira zielekezwe kwenye Makanisa!!! Ridiculous!!!