Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
hii nchi kama vile watu wamechanganyikiwa.
Nikweli kabisa watu wamechanganyikiwa sio uongo!
hii nchi kama vile watu wamechanganyikiwa.
wewe na M4C you all coment non senses!!!!
Tupe chanzo na vile vile wewe mleta hii habari ni muongo mkubwa ila ni chuki za kidini zinakusumbua kichwani na kujaribu kukuza usichokijuwa
Hivi kwa nini inapokuja kuhusu Uislamu hata suala dogo tu linakuzwa sana na linapokelewa kwa tahadhari ya hali ya juu?