Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,839
Hongera sana Dr. Salama. She is a descent lady!!! Hongera pia kwa kuweza kumaliza salama hasa kwa kipindi cha mwisho ambacho umekuwa ukilea mwanao mchanga(mjukuu wetu). Kwa yo yo, she is beatful but she is engaged!!!!! Mkwe wetu alikuwa mkristu ilibidi asilimu!!!!! Mfanyabiashara wetu kule........!!!!
Kwa upande mwingine, JK ameonyesha mfano halisi wa uzalendo. Na kam wataenda nje kusomea masters or PhD ni sawa tu kama ambavyo wengine tumefanya hivyo. After all, nafasi ya baba yake kama Rais inaruhusu pia watoto wake wapate exposure, ni jaki yake hata ingekuwa mimi ni Rais ningefanya hivyo. Kwa hiyo sioni hili la kuwapeleka watoto nje kama Rais linahitaji mjadala!!! Pia watoto wake si vilaza,, wana uwezo wa kimasomo hata kama si top vipanga but they are not dully. Hongereni watoto wa mkuu wetu. Salma pia namsifu kwa kuwalea watoto hawa 2 (Riz na Salama) na wote kuweza kufanikiwa kimasomo. Hongera sana mama Salma kwani kulingana na majukumu ya mumeo tangu akiwa waziri basi jukumu la kufuatilia misingi bora ya shule ya watoto wote ulichukua wewe na ukweli wamejitahidi. Unajua tena mambo ya kufuatilia homework, mikutano ya shule, ada, ripoti za hapa na pale, n.k kazi hii kubwa imeachiwa akina mama, japo kwa siku hizi a few a men wanafuatilia maendeleo ya shule za watoto wao.
Kwa upande mwingine, JK ameonyesha mfano halisi wa uzalendo. Na kam wataenda nje kusomea masters or PhD ni sawa tu kama ambavyo wengine tumefanya hivyo. After all, nafasi ya baba yake kama Rais inaruhusu pia watoto wake wapate exposure, ni jaki yake hata ingekuwa mimi ni Rais ningefanya hivyo. Kwa hiyo sioni hili la kuwapeleka watoto nje kama Rais linahitaji mjadala!!! Pia watoto wake si vilaza,, wana uwezo wa kimasomo hata kama si top vipanga but they are not dully. Hongereni watoto wa mkuu wetu. Salma pia namsifu kwa kuwalea watoto hawa 2 (Riz na Salama) na wote kuweza kufanikiwa kimasomo. Hongera sana mama Salma kwani kulingana na majukumu ya mumeo tangu akiwa waziri basi jukumu la kufuatilia misingi bora ya shule ya watoto wote ulichukua wewe na ukweli wamejitahidi. Unajua tena mambo ya kufuatilia homework, mikutano ya shule, ada, ripoti za hapa na pale, n.k kazi hii kubwa imeachiwa akina mama, japo kwa siku hizi a few a men wanafuatilia maendeleo ya shule za watoto wao.