Mtoto wa Diamond na kitu cheusi mkononi..

Mtoto wa Diamond na kitu cheusi mkononi..

Hiyo ni dawa ili asishtuke shtuke au kulia lia.
Niliambiwa inawekwa bangi,kitunguu swaumu na mavi ya tembo na mvuje (siujui)

Kinachofanya asishtuke ni mchanganyiko wa vilivyoweka akilala mkono unakua karibu na pua anakua anavuta harufu inamlewesha analala vizuri sana.
Huwa na nguvu zaidi siku za mwanzo baadae dawa inaisha nguvu kinabadilishwa.

Sina ushahidi ni simulizi tu niliipata vijijini huko Muheza.
Ahsanta kwani ilmu hii
 
Aseee kwanza mie nikishaona umemvisha mwanao huo mdude simbebi hata kumshika nakua naogopa
 
Hizi zilikuwa Imani zetu hapo zamani, mababu zetu waliamini na kufuata Mila na miiko na kufanyanya matambiko kwa mujibu wa makabila na Imani za kiafrika. Wakaja wazungu na waarabu wakaita huu Ni ushirikina na uchawi, wakaleta vitabu na miungu Yao ya kizungu na kiarabu. Wakawafundisha watu dini zao na watu kwa uzuzu wao ndio mpaka Leo wanawaona wazungu na waarabu Ni wastaarabu kuliko bibi na babu zetu. Mnajadili Mtoto wa watu kuvaa kamba mkononi wakati nyinyi mmevaa rozari shingoni, ndio mnajiona nyinyi mmestaarabika? Huo Ni utumwa wa akili.
 
Siii watu wote huvishwa, Mimi sikuvishwa , mwanangu hajavishwa
 
mnafiki mkubwa wewe ile dawa mliyoogeshwa umeisahau na ile mlokunywa je nayo umeisahau pi? Hakuna asiyezindikwa duniani ila ujanja ndiyo watu hutofautiana kuficha siri zao kuna hana hata chale moja wala hirizi lakini halogwi ng'oooo hata siku moja na anaweza kukuhadaa yeye ni mtumishi wa mungu ndiyo maana hana chale na wewe ukimuamini utakufa kwa kulogwa na utamwacha kumbuka hata mussa alilogwa lakini fimbo yake ilimsaidia unadhani fimbo ni nini katika ulimwengu wa leo?????
Kwa hiyo kumbe wewe ni mchawi kabisa kwa kuamini kuwa wote ni wachawi! !! Pole sana mchawi...!!
 
Back
Top Bottom