kwenye family yetu hatujawahi kuvishwa hirizi wala vitambaa vyeusi ila tumekua vzuri tu. Imani nyingine bwana only god can protect
Unaacha kujiuliza maswali kuhusu familia yako unauliza habari za watu zinakuhusu nini!
mnafiki mkubwa wewe ile dawa mliyoogeshwa umeisahau na ile mlokunywa je nayo umeisahau pi? Hakuna asiyezindikwa duniani ila ujanja ndiyo watu hutofautiana kuficha siri zao kuna hana hata chale moja wala hirizi lakini halogwi ng'oooo hata siku moja na anaweza kukuhadaa yeye ni mtumishi wa mungu ndiyo maana hana chale na wewe ukimuamini utakufa kwa kulogwa na utamwacha kumbuka hata mussa alilogwa lakini fimbo yake ilimsaidia unadhani fimbo ni nini katika ulimwengu wa leo?????
watoto wengi sana huvalishwa nini kinachokutia mashaka mkuu
Ni nini hiko!? Na maana yake nn?
Ukipata mtoto ndio utajua wala si ajabu watanzania wengi huvushwa hivo ata ww uliveshwa
mnafiki mkubwa wewe ile dawa mliyoogeshwa umeisahau na ile mlokunywa je nayo umeisahau pi? Hakuna asiyezindikwa duniani ila ujanja ndiyo watu hutofautiana kuficha siri zao kuna hana hata chale moja wala hirizi lakini halogwi ng'oooo hata siku moja na anaweza kukuhadaa yeye ni mtumishi wa mungu ndiyo maana hana chale na wewe ukimuamini utakufa kwa kulogwa na utamwacha kumbuka hata mussa alilogwa lakini fimbo yake ilimsaidia unadhani fimbo ni nini katika ulimwengu wa leo?????
mnafiki mkubwa wewe ile dawa mliyoogeshwa umeisahau na ile mlokunywa je nayo umeisahau pi? Hakuna asiyezindikwa duniani ila ujanja ndiyo watu hutofautiana kuficha siri zao kuna hana hata chale moja wala hirizi lakini halogwi ng'oooo hata siku moja na anaweza kukuhadaa yeye ni mtumishi wa mungu ndiyo maana hana chale na wewe ukimuamini utakufa kwa kulogwa na utamwacha kumbuka hata mussa alilogwa lakini fimbo yake ilimsaidia unadhani fimbo ni nini katika ulimwengu wa leo?????
Mojawapo ya mila zetu zisizo na msaada wala tija