hayo ni mawazo yako....chama kuwa na hazina ya vijana hodari ni ishara kuwa sasa kimeingia kabisa katika mioyo ya vijana na watu wa kizazi kipya.
ccm wamebaki na vibabu ambukizi na vijana wachache dhaifu na legelege.
![]()
Naona jamaa kawatupia mapepo ya CCM akina mama wanaangaika kwelikweli, pole sana.