kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,746
ww ndio mtoa roho za watu?? chadema yafwaaaaaaaaaa
kidumu chama cha mapinduzi, chama cha watu, chama cha wanyonge, chama cha masikini
inapaa kuelekea kuzimu
chadema ni genge la wasaka madaraka, wapigaji na wapiga dili
chadema inakaribia kufa
hawa ni wapiga dili hawa, wajasiriamali wa siasa. vijana wengi wanadanganyika na madaraka ndio mana wanaona chadema ni kibonde cha kufikia malengo
kama baba yake aliuawa yeye atapona??
''MY TAKE; HAWA VIJANA WANGEJIKITA KWENYE KUKIJENGA CHAMA BADALA YA KUKIMBILIA UBUNGE. UNAWEZA KUUTAMANI UBUNGE LAKINI UKAWA UMEKIHARIBU CHAMA UKAKOSA VYOTE.''
Hivi katika Hii thread yako ulichokiandika hapo kweny Blue ulikuwa unamshauri nani? kwani unavyoendelea kujichangia mwenyewe kwenye hii thread yako unaonekana ni Mburura hasiye na upeo wowote na hii ndivyo mlivyo nyie magamba.