msafiri.razaro
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,244
- 745
Tofauti ya CCM na CHADEMA ni; CCM wanajua kupanga mbinu na wanazitekeleza, CHADEMA wao wanategemea kudra ya Mungu. CDM tobadilike la sivyo yatatukuta kama ya Shangalai kule Zimbabwe.sasa hii picha ina uhusiano gani na mgogoro ndani ya chadema