Mkuu, CHADEMA ilishakufa. inasubiri kuzikwa tu rasmi 2015
Umeleta habari za Tarime hiyo habari ya Kufa CDM ni huko tarime au? maana hata Wassira alitamka hayo lakini ndiyo kwanza inazidi kupaa.chadema inakaribia kufa
Utakufa wewe kwanza!
kila kijana anajua chama gani kitaleta neema na maisha bora ambayo ccm kwa takribani miaka 50 wameshindwa na kuishia na ahadi lukuki kwenye makabrasha, Haya shime vijana wakakamavu, makini na wenye kuayaona mambo kama kuna wachache mmebaki ccm tokeni waacheni hawa wabibi kama hawataki kuhama maana psychologically ukifika umri huo kasi yako yakutafakari mambo huanza kupungua si kosa lao.
![]()
Umeleta habari za Tarime hiyo habari ya Kufa CDM ni huko tarime au? maana hata Wassira alitamka hayo lakini ndiyo kwanza inazidi kupaa.
Kwa jina la CCM nakuamuru pepo tokaaaaaaaaaaa!!!!hayo ni mawazo yako....chama kuwa na hazina ya vijana hodari ni ishara kuwa sasa kimeingia kabisa katika mioyo ya vijana na watu wa kizazi kipya.
ccm wamebaki na vibabu ambukizi na vijana wachache dhaifu na legelege.
![]()
kila kijana anajua chama gani kitaleta neema na maisha bora ambayo ccm kwa takribani miaka 50 wameshindwa na kuishia na ahadi lukuki kwenye makabrasha, Haya shime vijana wakakamavu, makini na wenye kuayaona mambo kama kuna wachache mmebaki ccm tokeni waacheni hawa wabibi kama hawataki kuhama maana psychologically ukifika umri huo kasi yako yakutafakari mambo huanza kupungua si kosa lao.
![]()
Umeleta habari za Tarime hiyo habari ya Kufa CDM ni huko tarime au? maana hata Wassira alitamka hayo lakini ndiyo kwanza inazidi kupaa.
BIBI KAMA HUYU NDIO UWEKEZAJI ULIOBAKIA KWENYE CCM, lakini kwa kijana yoyote mkakamavu hawezi kubaki kwenye kusanyiko la watu wa aina hii ambapo hawana haja yakuitazama future ya Tanzania ili hali jua limetua tayarihuyo bibi anajua nini maana ya CCM na ndo maana ameendelea kuwa mfuasi wa chama hicho. nyie mburula mmekuja juzi tu mnaanza kutukana tukana wakati chama chenu hata ofisi hakina
na nichama cha hawa wenye mapepo anayoyatoa Napekidumu chama cha mapinduzi, chama cha watu, chama cha wanyonge, chama cha masikini
hayo ni mawazo yako....chama kuwa na hazina ya vijana hodari ni ishara kuwa sasa kimeingia kabisa katika mioyo ya vijana na watu wa kizazi kipya.
ccm wamebaki na vibabu ambukizi na vijana wachache dhaifu na legelege.
![]()
chadema ni genge la wasaka madaraka, wapigaji na wapiga dili
Bahati nzuri sana wewe utakuwa umekufa kabla ya kushudia lolote kwa CHADEMAww ndio mtoa roho za watu?? chadema yafwaaaaaaaaaa
Kufa uta kufa ww na chadema utaiacha.chadema inakaribia kufa