utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
- Thread starter
- #81
Hee, kumbe na yule mlimlisha sumu. Lwakatare ana laana kubwa sanaHata sheikh yahaya alisema dt slaa atakufa alafu akafa yeye
Hee, kumbe na yule mlimlisha sumu. Lwakatare ana laana kubwa sanaHata sheikh yahaya alisema dt slaa atakufa alafu akafa yeye
Slaa mtu hatari sana kwa wake za watuMbona Jemedari wa wazinzi kaikalia tena kirahisirahisi tu na anakamulia vimwana mpaka vya kapewa na mafisadi hapohapo!!!
Mwaka 2015 ndivyo mnatakojua kuwa CCM ni legelege au vipi
Hizo ndizo ndoto za CCM?
Slaa mtu hatari sana kwa wake za watu
chadema inakaribia kufa
dogo yupo makini....
hayo ni mawazo yako....chama kuwa na hazina ya vijana hodari ni ishara kuwa sasa kimeingia kabisa katika mioyo ya vijana na watu wa kizazi kipya.
ccm wamebaki na vibabu ambukizi na vijana wachache dhaifu na legelege.
![]()
chadema inakaribia kufa
Kwani kuna shida gani mtoto wa Wangwe akigombea Ubunge?
View attachment 106977View attachment 106978View attachment 106981
Kilichomo kwenye attachment kwa ufupi,
1. Upo mgogoro mkubwa wa kiuongozi ndani ya CHADEMA jimbo la Tarime, chanzo ni ubunge tangu mwaka 2008 alipofariki Chacha Wangwe.
2. Heche, Mwita Waitara wapo kwenye msuguano mkali wa nani hasa atakayegombea jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA. Mwita aligombea 2010 akabwagwa na Nyambari Nyangwine wa CCM, sasa anajiona ana mtaji wa watu huku Heche akimtuhumu Mwita kuwa ndio aliyepoteza jimbo.
3. Mtoto wa Chacha Wangwe aitwaye Zakayo ameibuka kwa kasi ya ajabu na kuonekana kuungwa mkono na wakazi wa Tarime kwamba ndiye mrithi wa viatu vya baba yake katika jimbo hilo kama atagombea kupitia CHADEMA au kupitia chama chochote.
4. Mwita bado haaminiki asilimia mia moja na wananchi wa Tarime kwa historia yake ya makuzi ndani ya CHIPUKIZI na UVCCM ambapo alifikia cheo cha katibu wa vijana mkoa kabla ya kujiunga na CHADEMA mwaka 2008.
5. Uongozi wa CHADEMA taifa unaonekana kumpendelea Heche ktk siasa za Tarime kitendo kinachomuudhi sana Mwita.
MY TAKE; HAWA VIJANA WANGEJIKITA KWENYE KUKIJENGA CHAMA BADALA YA KUKIMBILIA UBUNGE. UNAWEZA KUUTAMANI UBUNGE LAKINI UKAWA UMEKIHARIBU CHAMA UKAKOSA VYOTE.
chadema inakaribia kufa
Mkuu, CHADEMA ilishakufa. inasubiri kuzikwa tu rasmi 2015
nimesoma pote sijaona balaa lolote linaloongelewa, au ndiyo kuuza gazeti kwenyewe? hizi njaa zingine bana.View attachment 106977View attachment 106978View attachment 106981
Kilichomo kwenye attachment kwa ufupi,
1. Upo mgogoro mkubwa wa kiuongozi ndani ya CHADEMA jimbo la Tarime, chanzo ni ubunge tangu mwaka 2008 alipofariki Chacha Wangwe.
2. Heche, Mwita Waitara wapo kwenye msuguano mkali wa nani hasa atakayegombea jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA. Mwita aligombea 2010 akabwagwa na Nyambari Nyangwine wa CCM, sasa anajiona ana mtaji wa watu huku Heche akimtuhumu Mwita kuwa ndio aliyepoteza jimbo.
3. Mtoto wa Chacha Wangwe aitwaye Zakayo ameibuka kwa kasi ya ajabu na kuonekana kuungwa mkono na wakazi wa Tarime kwamba ndiye mrithi wa viatu vya baba yake katika jimbo hilo kama atagombea kupitia CHADEMA au kupitia chama chochote.
4. Mwita bado haaminiki asilimia mia moja na wananchi wa Tarime kwa historia yake ya makuzi ndani ya CHIPUKIZI na UVCCM ambapo alifikia cheo cha katibu wa vijana mkoa kabla ya kujiunga na CHADEMA mwaka 2008.
5. Uongozi wa CHADEMA taifa unaonekana kumpendelea Heche ktk siasa za Tarime kitendo kinachomuudhi sana Mwita.
MY TAKE; HAWA VIJANA WANGEJIKITA KWENYE KUKIJENGA CHAMA BADALA YA KUKIMBILIA UBUNGE. UNAWEZA KUUTAMANI UBUNGE LAKINI UKAWA UMEKIHARIBU CHAMA UKAKOSA VYOTE.
View attachment 106977View attachment 106978View attachment 106981
Kilichomo kwenye attachment kwa ufupi,
1. Upo mgogoro mkubwa wa kiuongozi ndani ya CHADEMA jimbo la Tarime, chanzo ni ubunge tangu mwaka 2008 alipofariki Chacha Wangwe.
2. Heche, Mwita Waitara wapo kwenye msuguano mkali wa nani hasa atakayegombea jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA. Mwita aligombea 2010 akabwagwa na Nyambari Nyangwine wa CCM, sasa anajiona ana mtaji wa watu huku Heche akimtuhumu Mwita kuwa ndio aliyepoteza jimbo.
3. Mtoto wa Chacha Wangwe aitwaye Zakayo ameibuka kwa kasi ya ajabu na kuonekana kuungwa mkono na wakazi wa Tarime kwamba ndiye mrithi wa viatu vya baba yake katika jimbo hilo kama atagombea kupitia CHADEMA au kupitia chama chochote.
4. Mwita bado haaminiki asilimia mia moja na wananchi wa Tarime kwa historia yake ya makuzi ndani ya CHIPUKIZI na UVCCM ambapo alifikia cheo cha katibu wa vijana mkoa kabla ya kujiunga na CHADEMA mwaka 2008.
5. Uongozi wa CHADEMA taifa unaonekana kumpendelea Heche ktk siasa za Tarime kitendo kinachomuudhi sana Mwita.
MY TAKE; HAWA VIJANA WANGEJIKITA KWENYE KUKIJENGA CHAMA BADALA YA KUKIMBILIA UBUNGE. UNAWEZA KUUTAMANI UBUNGE LAKINI UKAWA UMEKIHARIBU CHAMA UKAKOSA VYOTE.