Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 757
Aisee ndugu hivi Arsenal wamekukosea nini!!!?Sijaelewa mengi
Ila nimeona baba jon alikosea katika malezi kwani alimfanya mtoto wake ashabikie Arsenal, hapo alikuwa ana mfundisha vibaya mtoto.
Halafu jon alimaliza form 4 mwaka gani!? Nataka niangalie kama kweli alitoka kwa news paper
