Mtoto uleavyo ndivyo akuavyo

Mtoto uleavyo ndivyo akuavyo

Sijaelewa mengi
Ila nimeona baba jon alikosea katika malezi kwani alimfanya mtoto wake ashabikie Arsenal, hapo alikuwa ana mfundisha vibaya mtoto.

Halafu jon alimaliza form 4 mwaka gani!? Nataka niangalie kama kweli alitoka kwa news paper
Aisee ndugu hivi Arsenal wamekukosea nini!!!?
 
Sijaelewa mengi
Ila nimeona baba jon alikosea katika malezi kwani alimfanya mtoto wake ashabikie Arsenal, hapo alikuwa ana mfundisha vibaya mtoto.

Halafu jon alimaliza form 4 mwaka gani!? Nataka niangalie kama kweli alitoka kwa news paper
Mtoto akiwa shabiki wa arsenal basi ujue lazima atakuwa mvumilivu na mwenye mapenzi ya dhati.
 
...kaoa mzungu,kwao matajiri!,
.nonsense;mentality ya kitumwa..
..na hadithi imefia hapo!
 
ka story kazuri ila karefu balaaa.
Nimesoma kwa kujump jump.
Kwakweli hata mimi sipendi kuandika story ndefu lakini hii ilikua inakwenda tu, imebidi niifupishe tu.
 
ka story kazuri ila karefu balaaa.
Nimesoma kwa kujump jump.
Kwakweli hata mimi sipendi kuandika story ndefu lakini hii ilikua inakwenda tu, imebidi niifupishe tu.
 
Soaks = socks

Halafu umejisahau, juu huko baba Jon aliacha pombe baadae unatueleza alikunywa kwa siri chumbani kwake.

Ume(e)lewa?
Sasa ndio umemkosoa nini wakati umesema mwenyewe soaks ni sawa sawa na socks?
Au ndio nitoke vp yako?
 
Back
Top Bottom