Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,750
- 109,845
nilimkimbia dem mmoja mliman city..... tulichat fb, kukutana nae ni dwarf gunia la mkaa ni refu na unene komba kapten ni mwembamba....
Aiseee.....!!!
nilimkimbia dem mmoja mliman city..... tulichat fb, kukutana nae ni dwarf gunia la mkaa ni refu na unene komba kapten ni mwembamba....
Wenzako wajanja wanasuuza rungu hata kwa huyo mwenye sura kama karabai la wavuvi...
Mvuvi akitupa nyavu hata kama alitaka avue tasi au mkole, wakiingia humo kibua, kolekole hawezi waachia...
Sasa we subiria huyo mwenye sura kama tachi skrini ya Aipad miaka mia tisa wakati hata ngawira yakupiga chenga...
Nilikua na muongopea mie nilipanga ni mlie mijiela sasa nitimtajia kuwa na somea Accountant siange kata mwawasiliano na mimi hata kabla hatuja panga kuonana maana angeona huyu demu anasomea Accountant mambo ya kufunga makabati siutani angetoka ndukiii coz angeona ningeapply hiyo kwake hahahah
Hahahaa lol umenfurahisha
hahAhahaha ni shida pendo
Me kuna mmoja nilimkimbia posta ilikuwa the same kama iyo story yako. Kwanza nilimuomba jina analotumia FB ili nimperuzi vizuri lakini akachomoa. Wasap kaweka picha ya ua red rose. Tukakubaliana tukutane posta benjamini. Me nikwai yeye wakati anakuja nikawa namchora vizuri tu, aisee nilizima simu na kuishia zangu. Ila mpaka leo roho inaniuma kwani skujua kama alikuwa na nauli ya kurudi au la.
Sana wanawake skiz tumejishusha thaman na ndio maana tunadharauliwa.....inashangaza sana asilimia kubwa ya ss waschana skiz tunapenda wanaume wenye magar....bt am not among of them...
Tunajidhalilisha sana tubadilikeni ni aibu
yani naomba unipe na hela ya nauli mwaka mzima kuniacha natoa macho pale kama mjinga .... uliamua kunidhalilisha mkuuu sitakusamehe kabisa mpaka unipe hela
Me kuna mmoja nilimkimbia posta ilikuwa the same kama iyo story yako. Kwanza nilimuomba jina analotumia FB ili nimperuzi vizuri lakini akachomoa. Wasap kaweka picha ya ua red rose. Tukakubaliana tukutane posta benjamini. Me nikwai yeye wakati anakuja nikawa namchora vizuri tu, aisee nilizima simu na kuishia zangu. Ila mpaka leo roho inaniuma kwani skujua kama alikuwa na nauli ya kurudi au la.
Me kuna mmoja nilimkimbia posta ilikuwa the same kama iyo story yako. Kwanza nilimuomba jina analotumia FB ili nimperuzi vizuri lakini akachomoa. Wasap kaweka picha ya ua red rose. Tukakubaliana tukutane posta benjamini. Me nikwai yeye wakati anakuja nikawa namchora vizuri tu, aisee nilizima simu na kuishia zangu. Ila mpaka leo roho inaniuma kwani skujua kama alikuwa na nauli ya kurudi au la.