Mtoto Pendo wa IFM

Mtoto Pendo wa IFM

Status
Not open for further replies.
Duuh ungejua ungemrushia hata buku 5 kwa m- pesa. Jamani msiwe mnatukimbia, kama tumerithi sura za wajomba zetu, tutafanyaje sasa hahahhahaha

Nahisi ni miss chaga, nimemwambia ani pm namba yake nimpoze amegoma sasa namsaidieje
 
Last edited by a moderator:
hahaha hii story inafanana na kisa cha kweli kilichomtokea rafiki yangu mwaka 2010.alipagawa na demu wa kiarusha aliyekosea simu kwa bahati mbaya na kumpigia rafiki yangu.......ni hadithi ndefu yenye kuchekesha sana.
 
Hahahaaaaaa,, jamani ulimkata maini pendo wa watu, et out of my expctn, teh teh teeeeeehhhhh, ila ungemalizia kwa kuzitaja izo features zake ndo ningekatika mbavu kabisa,. Ila na nyie mkome kutimbia msiowajua. Kah!
 
Hahahahaaaaaaaaa!!! Daaaaah yani leo surely nimeongeza mwaka mzima wa kuishi katika maisha yangu, ila afadhali ulijua kua umekosea kutompa nauli, duuh , nyie wanaume baba yenu mmoja siosili.
 
Ingawa umenifurahisha sio mbaya, ila umejitahidi kutunga kastory kako, umekosea tu kutaja BAF IFM kwa nnavosikiaga iko kitu hakipo pale,
 
Niaje wadau
Jumanne wki iliyopita Nikiwa kwenye harakati zangu za kusaka watoto wa nchi hii Mara naona namba mpya ina ingia kwenye simu yangu

Mimi:Hello
Yeye (sauti ya kike nyororo) :Hello nani?
Mimi: Kwani unamtafuta nani?
Yeye: Samahani kaka nimekosea namba
Mimi: Hahaha Hujakosea dada bila shaka unanitafuta mimi naitwa Peter nafanya kazi TPA
Yeye:Jamani Peter nimefurahi sana kukufahamu me naitwa Pendo nasoma IFM BAF
Mimi: Nami nimefurahi kukufahamu Pendo da unaishi pande zipi
Yeye: Naishi hostel za kigamboni nawewe je?
Mimi:Me naishi Sinza Palestina
Yeye:Jamani Peter,unaishi na nani?
Mimi:Mwenyewe kibachelor
Yeye:Jamani,karibu mwaya
Mimi:Asante lini utakuwa na muda?
Yeye:Weekend, Hivi upo wasap
Mimi:mm huwa nipo ila kwa sasa simu yangu imepata hitilafu kidogo hivo sipo kwa sasa
Yeye:Owky I hop to see yaa Peter,si utakuja kunitembelea my dear?
Mimi:Yap ntakuja jmosi siunajua tunafanya half day,husiwaze
Yeye:bye Peter (simu ikakata)

Baada ya mazungumzo hayo kamanda nikajisemea lazima huyu mtoto nimtimbie kwa gharama zozote hata kama nimepinda ntakopa kwa masela hata buku ten ya kuzugia. Yote niliyomwambia ni uongo hakuna cha kazi TPA wala siishi Sinza me naishi zangu Pugu kinyamwezi tangu nimalize chuo mwaka sasa sijawahi kupata hata kibarua cha kulipwa buku kwa siku. Kama kawa mtoto Pendo anatuma sms gud 9t dear,ushakula? ushatoka ofisn,upo jam una drive.na sms nyng nzuri
Da kamanda jmosi ikafika mida ya saa 4 mapema nikala DCM yangu taratibu huyo mida ya saa 7 nilikuwa zangu feri namsikilizia mrembo Pendo anishtue akitoka discussion.Mfukoni ilikuwa imebakia buku 6 na mia 3 me mwenyewe ubao ushaanza kute8t coz chai sikunywa. Baada ya nusu saa hivi akanipigia bado upo kwa ofis My baby Peter.nikamwambia ya but ndo natoka ntadrive fasta i hop baada ya dk 10 ntakuw hapo kgambonino. akaniuliza so itabidi nikusubili hapa njia ya kutokea feri ili twende beach maana jua kali, hvi gari lako peter linarangi gani?coz hapa na friends wagu watatu niliokuwa nao discusion wanataka wakuone my babyby.Du Nilichoka na nilihisi kigugumizi mwanaume yamenikuta ila nikamwambia ni Nissan Murano Nyeusi. Kipindi tunaongea hayo Pantoni linatia nanga kigamboni me nilitoka fasta kumpimia mapema, nikasogea hadi pale lango la kutokea magari ili nimwone Pendo. Du nilichoka sitaki kumkosoa mungu but it was out of my expectation sifa zote nilizomjengea hana hata moja. Baada ya hapo nikazima simu yangu nilirudi kwenye panton leo ndo nimeiwasha .

SOMO
Hivi ni msichana gani mrembo na mzuri atahangaika kumtafuta mtu ambaye hajawahi kumwona?wakati kuna mijidume kibao imemtokea na yenye pesa ikaipiga chini Tujifunze tuchukue hatua namba ambayo huijui iache.

manina chooo hcho
 
Sasa angekua amesimamia kucha si ungebakia na aibu,? Ama ungekimbia bill mezani na kuacha Pendo wa watu anateseka?
 
Sana wanawake skiz tumejishusha thaman na ndio maana tunadharauliwa.....inashangaza sana asilimia kubwa ya ss waschana skiz tunapenda wanaume wenye magar....bt am not among of them...


You are the exception and good for you, endelea hivyo!!!!
 
Aisee we jamaa unaeza tajirika kwa composition nzuri ebu fanyia kazi hiyo talanta yako ya utunzi
 
Nilivyo sikia mtoto Pendo IFM kidogo roho iache mwili kwa maana. Ila story imekuja kibadilika .wishoni baadae kutofautiana na uhalisia wa pendo mwenyewe.
 
We tembea na funguo za gari ata kama huna hyo gari afu unatulia zako sehemu kama Ak's mbna utangoa demu na hata sh kumi hapati..gharama ni guest tu..tatizo la hawa mademu wanaojitia ckassic hawajuagi mapenzi.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom