Mtoto Pendo wa IFM

Mtoto Pendo wa IFM

Status
Not open for further replies.

ukwama

Senior Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
136
Reaction score
83
Niaje wadau
Jumanne wki iliyopita Nikiwa kwenye harakati zangu za kusaka watoto wa nchi hii Mara naona namba mpya ina ingia kwenye simu yangu

Mimi:Hello
Yeye (sauti ya kike nyororo) :Hello nani?
Mimi: Kwani unamtafuta nani?
Yeye: Samahani kaka nimekosea namba
Mimi: Hahaha Hujakosea dada bila shaka unanitafuta mimi naitwa Peter nafanya kazi TPA
Yeye:Jamani Peter nimefurahi sana kukufahamu me naitwa Pendo nasoma IFM BAF
Mimi: Nami nimefurahi kukufahamu Pendo da unaishi pande zipi
Yeye: Naishi hostel za kigamboni nawewe je?
Mimi:Me naishi Sinza Palestina
Yeye:Jamani Peter,unaishi na nani?
Mimi:Mwenyewe kibachelor
Yeye:Jamani,karibu mwaya
Mimi:Asante lini utakuwa na muda?
Yeye:Weekend, Hivi upo wasap
Mimi:mm huwa nipo ila kwa sasa simu yangu imepata hitilafu kidogo hivo sipo kwa sasa
Yeye:Owky I hop to see yaa Peter,si utakuja kunitembelea my dear?
Mimi:Yap ntakuja jmosi siunajua tunafanya half day,husiwaze
Yeye:bye Peter (simu ikakata)

Baada ya mazungumzo hayo kamanda nikajisemea lazima huyu mtoto nimtimbie kwa gharama zozote hata kama nimepinda ntakopa kwa masela hata buku ten ya kuzugia. Yote niliyomwambia ni uongo hakuna cha kazi TPA wala siishi Sinza me naishi zangu Pugu kinyamwezi tangu nimalize chuo mwaka sasa sijawahi kupata hata kibarua cha kulipwa buku kwa siku. Kama kawa mtoto Pendo anatuma sms gud 9t dear,ushakula? ushatoka ofisn,upo jam una drive.na sms nyng nzuri
Da kamanda jmosi ikafika mida ya saa 4 mapema nikala DCM yangu taratibu huyo mida ya saa 7 nilikuwa zangu feri namsikilizia mrembo Pendo anishtue akitoka discussion.Mfukoni ilikuwa imebakia buku 6 na mia 3 me mwenyewe ubao ushaanza kute8t coz chai sikunywa. Baada ya nusu saa hivi akanipigia bado upo kwa ofis My baby Peter.nikamwambia ya but ndo natoka ntadrive fasta i hop baada ya dk 10 ntakuw hapo kgambonino. akaniuliza so itabidi nikusubili hapa njia ya kutokea feri ili twende beach maana jua kali, hvi gari lako peter linarangi gani?coz hapa na friends wagu watatu niliokuwa nao discusion wanataka wakuone my babyby.Du Nilichoka na nilihisi kigugumizi mwanaume yamenikuta ila nikamwambia ni Nissan Murano Nyeusi. Kipindi tunaongea hayo Pantoni linatia nanga kigamboni me nilitoka fasta kumpimia mapema, nikasogea hadi pale lango la kutokea magari ili nimwone Pendo. Du nilichoka sitaki kumkosoa mungu but it was out of my expectation sifa zote nilizomjengea hana hata moja. Baada ya hapo nikazima simu yangu nilirudi kwenye panton leo ndo nimeiwasha .

SOMO
Hivi ni msichana gani mrembo na mzuri atahangaika kumtafuta mtu ambaye hajawahi kumwona?wakati kuna mijidume kibao imemtokea na yenye pesa ikaipiga chini Tujifunze tuchukue hatua namba ambayo huijui iache.
 
h ha ha ha ha kwel mtoto pendo kanchosha hapo" et gar yako ina rang gan niko na frends wangu watatu wakuone"" dooh wakat una buku sita.....

pole lakin hongera
 
Niaje wadau
Jumanne wki iliyopita Nikiwa kwenye harakati zangu za kusaka watoto wa nchi hii Mara naona namba mpya ina ingia kwenye simu yangu

Mimi:Hello
Yeye (sauti ya kike nyororo) :Hello nani?
Mimi: Kwani unamtafuta nani?
Yeye: Samahani kaka nimekosea namba
Mimi: Hahaha Hujakosea dada bila shaka unanitafuta mimi naitwa Peter nafanya kazi TPA
Yeye:Jamani Peter nimefurahi sana kukufahamu me naitwa Pendo nasoma IFM BAF
Mimi: Nami nimefurahi kukufahamu Pendo da unaishi pande zipi
Yeye: Naishi hostel za kigamboni nawewe je?
Mimi:Me naishi Sinza Palestina
Yeye:Jamani Peter,unaishi na nani?
Mimi:Mwenyewe kibachelor
Yeye:Jamani,karibu mwaya
Mimi:Asante lini utakuwa na muda?
Yeye:Weekend, Hivi upo wasap
Mimi:mm huwa nipo ila kwa sasa simu yangu imepata hitilafu kidogo hivo sipo kwa sasa
Yeye:Owky I hop to see yaa Peter,si utakuja kunitembelea my dear?
Mimi:Yap ntakuja jmosi siunajua tunafanya half day,husiwaze
Yeye:bye Peter (simu ikakata)

Baada ya mazungumzo hayo kamanda nikajisemea lazima huyu mtoto nimtimbie kwa gharama zozote hata kama nimepinda ntakopa kwa masela hata buku ten ya kuzugia. Yote niliyomwambia ni uongo hakuna cha kazi TPA wala siishi Sinza me naishi zangu Pugu kinyamwezi tangu nimalize chuo mwaka sasa sijawahi kupata hata kibarua cha kulipwa buku kwa siku. Kama kawa mtoto Pendo anatuma sms gud 9t dear,ushakula? ushatoka ofisn,upo jam una drive.na sms nyng nzuri
Da kamanda jmosi ikafika mida ya saa 4 mapema nikala DCM yangu taratibu huyo mida ya saa 7 nilikuwa zangu feri namsikilizia mrembo Pendo anishtue akitoka discussion.Mfukoni ilikuwa imebakia buku 6 na mia 3 me mwenyewe ubao ushaanza kute8t coz chai sikunywa. Baada ya nusu saa hivi akanipigia bado upo kwa ofis My baby Peter.nikamwambia ya but ndo natoka ntadrive fasta i hop baada ya dk 10 ntakuw hapo kgambonino. akaniuliza so itabidi nikusubili hapa njia ya kutokea feri ili twende beach maana jua kali, hvi gari lako peter linarangi gani?coz hapa na friends wagu watatu niliokuwa nao discusion wanataka wakuone my babyby.Du Nilichoka na nilihisi kigugumizi mwanaume yamenikuta ila nikamwambia ni Nissan Murano Nyeusi. Kipindi tunaongea hayo Pantoni linatia nanga kigamboni me nilitoka fasta kumpimia mapema, nikasogea hadi pale lango la kutokea magari ili nimwone Pendo. Du nilichoka sitaki kumkosoa mungu but it was out of my expectation sifa zote nilizomjengea hana hata moja. Baada ya hapo nikazima simu yangu nilirudi kwenye panton leo ndo nimeiwasha .

SOMO
Hivi ni msichana gani mrembo na mzuri atahangaika kumtafuta mtu ambaye hajawahi kumwona?wakati kuna mijidume kibao imemtokea na yenye pesa ikaipiga chini Tujifunze tuchukue hatua namba ambayo huijui iache.
eti kamanda....
unaukamanda gani akati umemkimbia mwanamke? sa we na yeye nani kamanda hapo?
umeniangusha kinoma
 
Me kuna mmoja nilimkimbia posta ilikuwa the same kama iyo story yako. Kwanza nilimuomba jina analotumia FB ili nimperuzi vizuri lakini akachomoa. Wasap kaweka picha ya ua red rose. Tukakubaliana tukutane posta benjamini. Me nikwai yeye wakati anakuja nikawa namchora vizuri tu, aisee nilizima simu na kuishia zangu. Ila mpaka leo roho inaniuma kwani skujua kama alikuwa na nauli ya kurudi au la.
 
Badala ya kukazana kumuomba Mungu upate kibarua wewe unakazana na akina Pendo, haya wewe hujui kitu gani kinachochelewesha baraka zako
 
Hii story inafanana na ile ya Abunuwasi ila tofauti ni kidogo tu. Utandawazi haukuwepo enzi za Abunuwasi. Mambo kama whatsapp na masimu simu ya kiganjani hayakuwepogi.
Ila si haba. Uliinjoi pantoni pamoja na kupiga fix za kufufua mtu mzee wa TPA msukumaji wa Nissan Murano ya kusadikika.
Umetisha.
Mademu wa siku hizi nawafananisha na Mchepuko tope wa tabibumtaratibu
 
Last edited by a moderator:
Hii story inafanana na ile ya Abunuwasi ila tofauti ni kidogo tu. Utandawazi haukuwepo enzi za Abunuwasi. Mambo kama whatsapp na masimu simu ya kiganjani hayakuwepogi.
Ila si haba. Uliinjoi pantoni pamoja na kupiga fix za kufufua mtu mzee wa TPA msukumaji wa Nissan Murano ya kusadikika.
Umetisha.
Mademu wa siku hizi nawafananisha na Mchepuko tope wa tabibumtaratibu
nadhani hekimatele umeona tabu ya mchepuko tope hahahaha mpk ukwama katoka nduki.....
 
Last edited by a moderator:
Me kuna mmoja nilimkimbia posta ilikuwa the same kama iyo story yako. Kwanza nilimuomba jina analotumia FB ili nimperuzi vizuri lakini akachomoa. Wasap kaweka picha ya ua red rose. Tukakubaliana tukutane posta benjamini. Me nikwai yeye wakati anakuja nikawa namchora vizuri tu, aisee nilizima simu na kuishia zangu. Ila mpaka leo roho inaniuma kwani skujua kama alikuwa na nauli ya kurudi au la.
huyu atakuwa ni mimi tu... nilikasirika sana wakati huo nimetoka moshi nilikuja kumsalimia mama mdogo unaroho mbaya sana
 
ha ha ha ha amuache kutengeneza watu wenu... wengine sauti zinatubeba
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom