Niaje wadau
Jumanne wki iliyopita Nikiwa kwenye harakati zangu za kusaka watoto wa nchi hii Mara naona namba mpya ina ingia kwenye simu yangu
Mimi:Hello
Yeye (sauti ya kike nyororo) :Hello nani?
Mimi: Kwani unamtafuta nani?
Yeye: Samahani kaka nimekosea namba
Mimi: Hahaha Hujakosea dada bila shaka unanitafuta mimi naitwa Peter nafanya kazi TPA
Yeye:Jamani Peter nimefurahi sana kukufahamu me naitwa Pendo nasoma IFM BAF
Mimi: Nami nimefurahi kukufahamu Pendo da unaishi pande zipi
Yeye: Naishi hostel za kigamboni nawewe je?
Mimi:Me naishi Sinza Palestina
Yeye:Jamani Peter,unaishi na nani?
Mimi:Mwenyewe kibachelor
Yeye:Jamani,karibu mwaya
Mimi:Asante lini utakuwa na muda?
Yeye:Weekend, Hivi upo wasap
Mimi:mm huwa nipo ila kwa sasa simu yangu imepata hitilafu kidogo hivo sipo kwa sasa
Yeye:Owky I hop to see yaa Peter,si utakuja kunitembelea my dear?
Mimi:Yap ntakuja jmosi siunajua tunafanya half day,husiwaze
Yeye:bye Peter (simu ikakata)
Baada ya mazungumzo hayo kamanda nikajisemea lazima huyu mtoto nimtimbie kwa gharama zozote hata kama nimepinda ntakopa kwa masela hata buku ten ya kuzugia. Yote niliyomwambia ni uongo hakuna cha kazi TPA wala siishi Sinza me naishi zangu Pugu kinyamwezi tangu nimalize chuo mwaka sasa sijawahi kupata hata kibarua cha kulipwa buku kwa siku. Kama kawa mtoto Pendo anatuma sms gud 9t dear,ushakula? ushatoka ofisn,upo jam una drive.na sms nyng nzuri
Da kamanda jmosi ikafika mida ya saa 4 mapema nikala DCM yangu taratibu huyo mida ya saa 7 nilikuwa zangu feri namsikilizia mrembo Pendo anishtue akitoka discussion.Mfukoni ilikuwa imebakia buku 6 na mia 3 me mwenyewe ubao ushaanza kute8t coz chai sikunywa. Baada ya nusu saa hivi akanipigia bado upo kwa ofis My baby Peter.nikamwambia ya but ndo natoka ntadrive fasta i hop baada ya dk 10 ntakuw hapo kgambonino. akaniuliza so itabidi nikusubili hapa njia ya kutokea feri ili twende beach maana jua kali, hvi gari lako peter linarangi gani?coz hapa na friends wagu watatu niliokuwa nao discusion wanataka wakuone my babyby.Du Nilichoka na nilihisi kigugumizi mwanaume yamenikuta ila nikamwambia ni Nissan Murano Nyeusi. Kipindi tunaongea hayo Pantoni linatia nanga kigamboni me nilitoka fasta kumpimia mapema, nikasogea hadi pale lango la kutokea magari ili nimwone Pendo. Du nilichoka sitaki kumkosoa mungu but it was out of my expectation sifa zote nilizomjengea hana hata moja. Baada ya hapo nikazima simu yangu nilirudi kwenye panton leo ndo nimeiwasha .
SOMO
Hivi ni msichana gani mrembo na mzuri atahangaika kumtafuta mtu ambaye hajawahi kumwona?wakati kuna mijidume kibao imemtokea na yenye pesa ikaipiga chini Tujifunze tuchukue hatua namba ambayo huijui iache.
Jumanne wki iliyopita Nikiwa kwenye harakati zangu za kusaka watoto wa nchi hii Mara naona namba mpya ina ingia kwenye simu yangu
Mimi:Hello
Yeye (sauti ya kike nyororo) :Hello nani?
Mimi: Kwani unamtafuta nani?
Yeye: Samahani kaka nimekosea namba
Mimi: Hahaha Hujakosea dada bila shaka unanitafuta mimi naitwa Peter nafanya kazi TPA
Yeye:Jamani Peter nimefurahi sana kukufahamu me naitwa Pendo nasoma IFM BAF
Mimi: Nami nimefurahi kukufahamu Pendo da unaishi pande zipi
Yeye: Naishi hostel za kigamboni nawewe je?
Mimi:Me naishi Sinza Palestina
Yeye:Jamani Peter,unaishi na nani?
Mimi:Mwenyewe kibachelor
Yeye:Jamani,karibu mwaya
Mimi:Asante lini utakuwa na muda?
Yeye:Weekend, Hivi upo wasap
Mimi:mm huwa nipo ila kwa sasa simu yangu imepata hitilafu kidogo hivo sipo kwa sasa
Yeye:Owky I hop to see yaa Peter,si utakuja kunitembelea my dear?
Mimi:Yap ntakuja jmosi siunajua tunafanya half day,husiwaze
Yeye:bye Peter (simu ikakata)
Baada ya mazungumzo hayo kamanda nikajisemea lazima huyu mtoto nimtimbie kwa gharama zozote hata kama nimepinda ntakopa kwa masela hata buku ten ya kuzugia. Yote niliyomwambia ni uongo hakuna cha kazi TPA wala siishi Sinza me naishi zangu Pugu kinyamwezi tangu nimalize chuo mwaka sasa sijawahi kupata hata kibarua cha kulipwa buku kwa siku. Kama kawa mtoto Pendo anatuma sms gud 9t dear,ushakula? ushatoka ofisn,upo jam una drive.na sms nyng nzuri
Da kamanda jmosi ikafika mida ya saa 4 mapema nikala DCM yangu taratibu huyo mida ya saa 7 nilikuwa zangu feri namsikilizia mrembo Pendo anishtue akitoka discussion.Mfukoni ilikuwa imebakia buku 6 na mia 3 me mwenyewe ubao ushaanza kute8t coz chai sikunywa. Baada ya nusu saa hivi akanipigia bado upo kwa ofis My baby Peter.nikamwambia ya but ndo natoka ntadrive fasta i hop baada ya dk 10 ntakuw hapo kgambonino. akaniuliza so itabidi nikusubili hapa njia ya kutokea feri ili twende beach maana jua kali, hvi gari lako peter linarangi gani?coz hapa na friends wagu watatu niliokuwa nao discusion wanataka wakuone my babyby.Du Nilichoka na nilihisi kigugumizi mwanaume yamenikuta ila nikamwambia ni Nissan Murano Nyeusi. Kipindi tunaongea hayo Pantoni linatia nanga kigamboni me nilitoka fasta kumpimia mapema, nikasogea hadi pale lango la kutokea magari ili nimwone Pendo. Du nilichoka sitaki kumkosoa mungu but it was out of my expectation sifa zote nilizomjengea hana hata moja. Baada ya hapo nikazima simu yangu nilirudi kwenye panton leo ndo nimeiwasha .
SOMO
Hivi ni msichana gani mrembo na mzuri atahangaika kumtafuta mtu ambaye hajawahi kumwona?wakati kuna mijidume kibao imemtokea na yenye pesa ikaipiga chini Tujifunze tuchukue hatua namba ambayo huijui iache.