Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 491
- 180
mume alimpa talaka mkewe wakaenda mahakamani ili mahakama iamue ni nani anapaswa kuishi na mtoto ?
MKE : akasema mtoto ni wakwangu kwa maana nilibeba mimba miezi 9 nikapata uchungu kujifungua na
kumyonyesha mtoto,
MUME: nae akasimama akauliza hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye ATM
mashine ikatoa pesa sasa pesa zitakuwa ni za ATM au ni za kwangu?
wana jf hebu tusaidieni jibu hakimu aamue nini hapo
MKE : akasema mtoto ni wakwangu kwa maana nilibeba mimba miezi 9 nikapata uchungu kujifungua na
kumyonyesha mtoto,
MUME: nae akasimama akauliza hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye ATM
mashine ikatoa pesa sasa pesa zitakuwa ni za ATM au ni za kwangu?
wana jf hebu tusaidieni jibu hakimu aamue nini hapo