utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,657
huyo bibie FaizaFoxy alikuwa yupo jela lupango amesha toka nini ? Huyu bibie Faizafoxy ni CCM damu mchafuzi akija huku ataleta uchafuzi wa maneno si unajuwa tena fujo zake huyo bibie ana fujo sana kimaneno hajuwi kuongea sijuwi Mzaramo nini?:becky: ninamchokoza kwa maneno ya matusi anaongoza huyo bibie.
Mkuu mbona unalianzisha?