Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Hahahha umeona eeekibongobongo apo hapo polisi ata wasingehangaika
Si story hiyo. Ni kitu kilichowah kutokea hivyo kimewasilishws vivyo hivyo
Ni mtu wa roho gani aweza kumponda na kumnyofoa uhai mtoto mdogo kama huyo? So sadYaani sura ya huyo dogo inatia huruma sana, dunia hii ina matukio ya ajabu kiasi imesumbua vichwa vya wasomi wa mambo ya uchunguzi huko ughaibuni
Ni vema tena ni haki mbele ya Mola walahi!
Hawa wadhungu wanauwana na kuzika wenyewe sana!Wenzetu wanapofika mwisho wa upelelezi wanapiga muhuri " unsolved case " lakini anakuja mwingine anaifatilia yaani mpaka kieleweke. wanatafuta jina kwa ajili ya fani zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
They don't care, until they are old, ndipo wanapata mambo ya pressureHawa wadhungu wanauwana na kuzika wenyewe sana!
Kwa sababu ya desturi ya maisha yao!
Garden zao nyingi nyumbani ni makaburi!
That’s all


Yes kusolve kesi kubwa inajenga reputation sana kwa mpelelezi.Wenzetu wanapofika mwisho wa upelelezi wanapiga muhuri " unsolved case " lakini anakuja mwingine anaifatilia yaani mpaka kieleweke. wanatafuta jina kwa ajili ya fani zao.
Sent using Jamii Forums mobile app