MTOTO MFU NDANI YA BOKSI

MTOTO MFU NDANI YA BOKSI

Laiti wapelelezi wetu wangepeleleza kwa kutumia 10% ya juhudi iliyotumika kubaini muuaji wa huyo mtoto, bila shaka:
1.Muuaji wa Akwilina angeshatiwa korokoroni badala ya kukimbilia kufunga jalada.
2. Tungeshajua kilichompa Ben Saanane
3.Waliomfyatulia risasi mh.Lissu wangeshahukumiwa.
Wenzetu wanathamini ubinadamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom