Gnixc_33
Member
- Dec 6, 2021
- 8
- 6
Habari,
Huu ni uzi kwa ajili ya watoto naomba kuuliza kama. Una uzoefu au wewe ni Dr. Naomba kuelimishwa.
Je, mtoto mchanga anatakiwa kunyonya maziwa ya mama kwa muda gani? Kuna watu wanasema miezi 6 bila chochote. Ukimpa maji ataumwa tumbo ukimpa chakula mapema namaanisha uji, hatofanana na mtoto aliyenyonya maziwa miezi 6 bila kula chochote sina ufahamu nami nina mtoto kwa sasa haitaji kujifunza.
Karibuni kwa Maoni
Huu ni uzi kwa ajili ya watoto naomba kuuliza kama. Una uzoefu au wewe ni Dr. Naomba kuelimishwa.
Je, mtoto mchanga anatakiwa kunyonya maziwa ya mama kwa muda gani? Kuna watu wanasema miezi 6 bila chochote. Ukimpa maji ataumwa tumbo ukimpa chakula mapema namaanisha uji, hatofanana na mtoto aliyenyonya maziwa miezi 6 bila kula chochote sina ufahamu nami nina mtoto kwa sasa haitaji kujifunza.
Karibuni kwa Maoni