<br />Malaika wa Mungu, she must have been so traumatized(sp) Al Jazeera just said 190 confirmed dead from ZNZ police,<br />
<br />
So though its grim am glad those who survived are more than those who lost their lives <br />
<br />
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana libarikiwe
Nafikiri una matatizo ya akili.si busara kufikiri mungu anahusika na vifo vya waliokufa katika ajali ya kuzama kwa meli.
Ati waliokufa bwana ametwaa. Waliookoka, bwana amewapigania.
Hii ni akili mgando. Yehova haoni shangwe kwa kifo cha mwanadamu. Yeye ameweka sheria za asili, pia ametuwekea sheria za kufuata. Tunapofanya kwa uzembe au udhaifu wa kibinadamu, si haki kumuhusisha Yehova na mambo mabaya yanayotupata kwa vile moja ya sifa zake ni upendo na anatujali.
Hausiki kwa namna yoyote na mauaji au kifo cha mwanadamu.
si busara kufikiri mungu anahusika na vifo vya waliokufa katika ajali ya kuzama kwa meli.
Ati waliokufa bwana ametwaa. Waliookoka, bwana amewapigania.
Hii ni akili mgando. Yehova haoni shangwe kwa kifo cha mwanadamu. Yeye ameweka sheria za asili, pia ametuwekea sheria za kufuata. Tunapofanya kwa uzembe au udhaifu wa kibinadamu, si haki kumuhusisha Yehova na mambo mabaya yanayotupata kwa vile moja ya sifa zake ni upendo na anatujali.
Hausiki kwa namna yoyote na mauaji au kifo cha mwanadamu.