kumshitak ni kumuonea kwsbb pyschologically tayari ameshaathirika hasa kwa kilichotokea ikiwa ni pamoja na kutaka kuuawa, ni heri wangemuacha tu au km anashtakiwa basi ashtakiwe na mwenye kitabu kwsbb mi naona wote wana makosa,huyo mwenye kitabu km alijua kukojolea ni dhambi kwnn alikitoa kikojolewe?
mi naona wote wana makosa japo la yule mtoto halitakuwa kubwa sababu tu ya umri wake..kile kitabu ni cha jumuia!
Watoto hawana malezi toka kwa wazazi wao..