Mauaji ya mwandishi Mwangosi rais hajatoa kauli hadi leo!! Lakini kisa cha mtoto mdogo kukojoa tayari keshasema hilo ni kosa kubwa! Na waliojichukulia sheria mkononi kuchoma makanisa je hao haoni kosa lao!!
honolulu ur point is clear,mkuu wa nchi kuzungumzia huyo mtoto kafanya kosa ni udhaifu mkubwa maana huwezi ukilinganisha hilo na walichofanya hao waislamu.kutokutoa kauli juu ya uharibifu wa makanisa unaojirudia kwake ni sawa!Ipo siku inakuja wakristo tutasema imetosha na tutaanza kujilinda.