Mtoto mmoja aliibiwa yeboyebo zake akalia sana, ghafla akatokea mtu mmoja mzima akamuuliza
kwanini unalia?
mtoto akajibu,
nimeibiwa yeboyebo zangu,
yule myu mzima akamwabia nyamaza usilie mwachie Mungu,
mtoto akajibu,
Mungu hazitamtosha ni ndigo sana.