Mama yako sina hivyo vinasaba wewe utavitoa wapi!!Daah kweli kuwa mke ni wito. Yani wewe ndo umekosewa, ila bado unatakiwa ujifanye tu mjinga ili usipoteze ndoa yako, aiseee. Sio mume ndo alitakiwa ajishushe na kuonyesha Kuwa anajuta kwa alichokifanya?
Mmmh sijui nina hii neema kweli? Jitu lijihangaishe huko kwa starehe zake, mie Nanny wake nikusanyiwe tu watoto (Nawaza tu)
Kwasababu hapa ukimuacha aende kumtembelea mtoto ataletwa wa pili.
Haha sasa ukikubali conditions na majukumu ndiyo umekubali uke wenza.Negative, ata ningekuwa mimi ndio mchizi, hiii sio best option kwa kid wa age hiyo. Kid atalelewa best akiwa kwa mama yake kwa age hiyo
Pia, tusiwe selfish sana. U think mama wa kid angekubal?? Humchukue mumeo and her kid pia (si atabaki mpweke kinoma).
Hapa kid akae kwa mama yake, bt condition za majukumu wakubaliane.
Hapo simshauri chochote!! Mapenzi haya hayanaga ushauri, ye afanye aonacho ni sahihi kwake.wewe ungemshauri mke wa Peter kuachana na ndoa?
Kwanza tayari huyo ni mke mwenzio, ukubali mara ngapi?Haha sasa ukikubali conditions na majukumu ndiyo umekubali uke wenza.
Mchepukaji ni mchepukaji tu, kama alikudharau mwanzo akachepuka na kukuletea mtoto, ukimchukua huyo ataenda kwa mwingine utaletewa mwingine.Wataishia kuwa watoto siyo mtoto.
Conditions zilizopo zita mpa mke halali nafasi ya kulinda ndoa yake , kuto toa nafasi jamaaa kuhusika kimahusiano na huyu mama wa nje, bt mean while haki za mtoto zilindwe ila sio ku share kwa zamuHaha sasa ukikubali conditions na majukumu ndiyo umekubali uke wenza.
Unadhani ukikusanya watoto wake aliozaa nje ndo utamfunga asichepuke tena?. Afadhali hata kakuletea tu watoto, maana hakawii kukuletea AIDS na HPV huko. Ila nisiseme sana, maana ukute nina neema ya kulea watoto wa michepuko ya mume wangu teh (God forbid)Kwasababu hapa ukimuacha aende kumtembelea mtoto ataletwa wa pili.
Mimi ni hacker mzuri sana hapa JF mkuu huwa natembeleaga pm,whatsapp,SMS,calls e.t.c za watu mbalimbali!!Unajuaje kuwa nimeshampata mkuu?
Mmh kosa la mtu mwingine, ila bado unatakiwa ujinyenyekeze ili usije kupoteza ndoa yako aiseee. Hii neema isitufikie tu kwa kweliMama yako sina hivyo vinasaba wewe utavitoa wapi!!
Huu wito chaaaah!!
Huko ulikofika ni reality lakini hatuombei, UKIMWI uko controlled siku hizi cha kuogopa ni HPV.Unadhani ukikusanya watoto wake aliozaa nje ndo utamfunga asichepuke tena?. Afadhali hata kakuletea tu watoto, maana hakawii kukuletea AIDS na HPV huko. Ila nisiseme sana, maana ukute nina neema ya kulea watoto wa michepuko ya mume wangu teh (God forbid)
Unadhani ukikusanya watoto wake aliozaa nje ndo utamfunga asichepuke tena?. Afadhali hata kakuletea tu watoto, maana hakawii kukuletea AIDS na HPV huko. Ila nisiseme sana, maana ukute nina neema ya kulea watoto wa michepuko ya mume wangu teh (God forbid)
Hata siku kijana akikugegeda nitajua instantly pia!Basi umechelewa basi la mshahara.