Mke hakuwa katika hali ya kulizwa pale, ilibidi kumtuliza mke, Peter aondoe familia, wamefika nyumbani mke alipata namba ya simu ya shost kutoka kwenye simu ya mumewe na kumpigia. Alimueleza aelewe inavyouma akiwa kama mwanamke, atambua kuwa anavunjNdio aendelee sasa.....
Alimpigia simu shost na kumueleza maumivu na ajue kuwa anavunja ndoa yake.Umejuaje kuwa mke wa ndoa anawaza hayo?
kwa hiyo umeona nimechemkaje? kwamba kitatokea nini?Hapo umechemka, mwite mchepuko mbele ya wife mtambulishe mengine mkirudi nyumbani akikataa kutambulishwa aga mtoto rudini nyumbani maana shopping imeishia hapo huko sasa mkayamalize. Jua si wife tu atakeyeumia hata mchepuko maana wote ni wako
Ndio ilikuwa siku Kuu kwa familia ya eng. Peter na huyo shost yako kujuana!Habari za leo wapendwa,
Jamani leo shost mwingine amepata majanga, huyu niliwahi kufanya nae kazi sehemu flani lakini bado tunamawasiliano.
Kisa chenyewe ni kuwa, shost alipokuwa 30+ aligundulika na fibroids, kwakuwa hakuwa na mume wala mtoto, alikuwa desperate kupata angalau mtoto akihofia baada ya matatibabu anaweza akose kabisa.
Sijui makubaliano yalivyokuwa lakini alikutana na kijana Peter ambae ni engineer, Peter ana mke na mabinti wawili. Shost amebahatika kupata mtoto wa kiume, Peter amechanganyikiwa kwa furaha. Peter aliahidi kumtunza mama na mtoto, aliwapangishia nyumba nzima lakini mbali kabisa na nyumbani kwake, mfano iwe Gongo la Mboto na Mbweni.
Peter alihakikisha mara mbili kwa wiki alikuwa kwa shost akimuogesha mtoto, kumsomea bedtime stories mpaka mtoto akilala ndiyo anaondoka kwenda kwake. Mtoto alimfahamu baba yake na mara nyingi aliuliza kwanini baba hakai na sisi, si fahamu ni jibu gani wazazi walimpatia.
Mke wa Peter hakuwa na fahamu yeyote kwa haya yote yanayotekea. Kasheshe imekuja kipindi hiki cha sikukuu, shost alikwenda kumnunulia mtoto mahitaji ya sikukuu Mlimani City na kugongana uso kwa uso na Peter akiwa na mkewe na watoto wao.
Katoto ka shost masikini kamemkimbilia Peter daddy, jamani Peter aliishiwa nguvu, mke amekuja juu, inakuwaje mtoto apite watu wote aje akuite wewe daddy?
Aisee.. Ngoja niishie hapa but usije mfanyia wife hivyo. Mungu hapendiHakuna ugomvi hapo..... Mwanaume kidume huyo. A woman should be proud of. Ana familia mbili na zote amezihandle perfectly.
Ni wa kupongeza huyo. mabint wa dot. com ndo wanaweza lata za kuleta.
Ilikuwa kama cinema Mlimani City wewe, mtoto amekuja "daddy" from no where.Sky na shosti zake again.
Huyo shosti nae hakuona wanaume wengine hadi mume wa mwenzie!!
Hivi nyie wanaume kuchepuka chepuka na kuzaa zaa nje ya ndoa zenu mnaona fahari!!!
Ni kweli inategemea na jinsi unavyomfahamu mwenza wako, ila nilikuwa Nawaza mtu kapatwa na mstuko kakasirika kuona mtoto ambaye hana taarifa yake leo umpeleke Kwenye banda la juisi itanyweka kweli. Nyumbani ni pazuri atachachamaa baadae mtapata suluhukwa hiyo umeona nimechemkaje? kwamba kitatokea nini?
kwa ulivyosuggest kama mke mkifika home ndo akakuchachamalia utafanyaje?
niko sahihi 50% na wewe 50%, kwa sababu hujui kama lako litafanikiwa au langu
Banda la juicy utaishia kudaiwa gharama ya glass na viti vilivyovunjika.Ni kweli inategemea na jinsi unavyomfahamu mwenza wako, ila nilikuwa Nawaza mtu kapatwa na mstuko kakasirika kuona mtoto ambaye hana taarifa yake leo umpeleke Kwenye banda la juisi itanyweka kweli. Nyumbani ni pazuri atachachamaa baadae mtapata suluhu
Hahah yeah, yote yawezekanaa ila kwa mwanamke mwenye akili hawezi fanya hivo itakuwa ana mjuza kipofu kuwa nakula na wewe. Hapa utakaribsha ushindani na kujipunguzia ile atention aliyokuwa anapewaI salute you. Pengine mchepuko ulifurahia hiyo hali, si unajua mademu wanapenda sana ushindani wa ajabu ajabu.
fiction story....... ndio mana imeonekana kuwa na simpe reasoningduh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
mkuu uko vizur nimependa majibu yako ya haraka bt yana mantikMbona hapo kama yule kimada angekuwa na akili ya fasta ilikuwa ni ishu ndogo tu,
Wakati dogo anamkimbilia dady, yule bibie alitakiwa aende, kuanzisha story, shem vip? Mtoto kawamisi baba zake jamani, hamji kumtelembelea , so ingepata pa kumaliziwa.
Kumbefiction story....... ndio mana imeonekana kuwa na simpe reasoning
Nimekutana na situation nyingi very chalenging na zina hitaji akili za fasta za kujiongeza.mkuu uko vizur nimependa majibu yako ya haraka bt yana mantik
Wanaume na wanawake wote wanacheat. Sema kiwango kinatofautiana , hujawahi sikia mwanamke anacheat hadi anamletea mume mimba ya nje??Sky na shosti zake again.
Huyo shosti nae hakuona wanaume wengine hadi mume wa mwenzie!!
Hivi nyie wanaume kuchepuka chepuka na kuzaa zaa nje ya ndoa zenu mnaona fahari!!!
Shida ni kama mtoto kafanana na daddy ...Mbona hapo kama yule kimada angekuwa na akili ya fasta ilikuwa ni ishu ndogo tu,
Wakati dogo anamkimbilia dady, yule bibie alitakiwa aende, kuanzisha story, shem vip? Mtoto kawamisi baba zake jamani, hamji kumtelembelea , so ingepata pa kumaliziwa.