Mtoto alipoharibu

Mtoto alipoharibu

Mbona hapo kama yule kimada angekuwa na akili ya fasta ilikuwa ni ishu ndogo tu,

Wakati dogo anamkimbilia dady, yule bibie alitakiwa aende, kuanzisha story, shem vip? Mtoto kawamisi baba zake jamani, hamji kumtelembelea , so ingepata pa kumaliziwa.
I salute you. Pengine mchepuko ulifurahia hiyo hali, si unajua mademu wanapenda sana ushindani wa ajabu ajabu.
 
Mke wa ndoa anawaza kuwa Peter amecheat kwasababu yeye hajapata baby boy wakati mbegu za X na Y zinatoka kwa Peter wala si kosa lake.
 
Simpatii picha, kamalizia mwaka vibaya na kauanza vibaya pia. Ila kwakua yeye kwa sasa ana upper hand anaweza kutake advantage na kuanza kuset rules of the game. Cha muhimu awe fair.
kabisa ila yote atashinda tu
 
Dah maskini ila sometimes wa mama na sisi ma selfish yaani unaamua kumleta mtoto duniani kwenye situation Kama hii jaman hata hufikirii hii itamuathiri vipi mtoto katika ukuaji wake
 
Peter ni mzembe sana kwenda na familia yake mlimani city huku akijua kabisa uwezekano wa kufumaniwa anga hizo ni mkubwa sana...
 
duh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
Mkuu huo mshtuko wa mke, mpaka mume apate nafasi ya kujishusha na kuelezea si ajabu gari haina vioo.
 
duh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
mnazijua mbinu balaaaa
 
Peter ni mzembe sana kwenda na familia yake mlimani city huku akijua kabisa uwezekano wa kufumaniwa anga hizo ni mkubwa sana...
Ni shopping ya sikukuu tu lakini shost hana kabisa mazoea ya kwenda Mlimani City.
 
changamoto za maisha
awaweke chini wajuane japo make mkubwa atang'aka Ila hakuna namna
 
ukiwa unachepuka, na umehalalisha chepuko lako.... lazima uwe na roho ngumu mno.....maana unaweza kuwa unatoa taarifa ili wasigongane, mwenzio anafosi kingi.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom