RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Tunamhukumu mwalimu wa watu bureee...haya wataalam wa lugha, dagaa kwa kidhungu? twasubiri, tusije ulizwa na wanetu halafu majibu yakawa kama hayo ya mwalimu!
Mwalimu kafukuza mwanafunzi shule, sasa head wa house nikishindwa kujibu "what is dagaa" sijui inabidi mtoto nimhamishie kwa shangazi yake akafunzwe maadili??
Jamani wenye lugha tusaidieni fasta maana mambo haya yanataka wito!