Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,820
Siku hizi mtori unachakachuliwa sana na hawa wapishi uchwara wa kwenye mabaa.
Baa nyingine wanakuletea mtori wa mihogo, baa nyingine mtori wa magimbi, na sehemu nyingine mtori umechanganywa na viazi utamu.
Jamani nataka nielekezwe sehemu ntakayopata mtori wa ndizi, tena uwe na nyama nyingi.
Baa nyingine wanakuletea mtori wa mihogo, baa nyingine mtori wa magimbi, na sehemu nyingine mtori umechanganywa na viazi utamu.
Jamani nataka nielekezwe sehemu ntakayopata mtori wa ndizi, tena uwe na nyama nyingi.