Hahahahahahahahahahahaha kitimoto ya kuchoma ni tamu vibaya saaana, nilinunuaga pale mbagala zakhem.Sijawahi kujaribu lakini kitimito ichomwe kwenye jiko ka mkaa usipime
Unachoma kiasi gani Mkuu?Sisi tunachoma wenyewe weekends
Sasa una allergy hadi mimi shem wako jamani??!Hunitakii mema shem m, Nina allergy na wanaume isipokuea Asprin tu.
Ubavu mzima? Asante sana Mama.Ya kula wenyewe huwa tunanunua upande nzima, mbavu ni tamu sana kuchoma na ndizi mzuzu kwa kachumbari
Tena wewe ndiyo kabisa inaanza nikisoma ulichoandika
hhaaaaaaTulia we mwanamama. Ushazoea kula matobola utuwache na mtori wetu