Mtori special kwa Aspirini

Mahitaji:
  • Nyama ya ng'ombe
  • Ndizi mbichi
  • Kitunguu maji
  • Mafuta ya kupikia
  • Blue band / Tanbond
  • Chumvi kiasi
Namna ya Kupika
  • Katakata nyama na kisha iweke kwenye sufuria yenye maji kidogo na chumvi kiasi
  • Chemsha nyama mpaka iive
  • Epua nyama yako na uiweke pembeni
  • DSC01379.JPG

    • Menya maganda ya ndizi
    • Katakata ndizi katika vipande vidogo kisha vioshe
    • Weka ndizi kwenye sufuria lenye maji kiasi na chumvi
    • Katakata vitunguu maji na viongeze kwenye sufuria lenye ndizi

    DSC01376.JPG
  • Chemsha ndizi
  • Mara kwa mara geuza ndizi na mwiko ili kuhakikisha zote zinaiva.
  • Epua ndizi zako, na kisha punguza maji uliyochemshia kwenye chombo safi
  • Pondaponda ndizi huku ukiongeza maji uliyoyatenga ili kulainisha mchanganyiko
  • Ongeza margarine
  • huku ukiendelea kuponda
DSC01377.JPG



  • Ndizi zinapokua laini kabisa weka nyama uliyochemsha kwenye mchanganyiko wa ndizi
  • Ongeza maji uliyochemshia nyama na koroga mpaka mchanganyiko huo uchanganyike vyema
12.05.2011.JPG


Asprin karibu mume wangu.
Ahsante mke wangu... ngoja nikaoge kwanza
 
Mahitaji:
  • Nyama ya ng'ombe
  • Ndizi mbichi
  • Kitunguu maji
  • Mafuta ya kupikia
  • Blue band / Tanbond
  • Chumvi kiasi
Namna ya Kupika
  • Katakata nyama na kisha iweke kwenye sufuria yenye maji kidogo na chumvi kiasi
  • Chemsha nyama mpaka iive
  • Epua nyama yako na uiweke pembeni
  • DSC01379.JPG

    • Menya maganda ya ndizi
    • Katakata ndizi katika vipande vidogo kisha vioshe
    • Weka ndizi kwenye sufuria lenye maji kiasi na chumvi
    • Katakata vitunguu maji na viongeze kwenye sufuria lenye ndizi

    DSC01376.JPG
  • Chemsha ndizi
  • Mara kwa mara geuza ndizi na mwiko ili kuhakikisha zote zinaiva.
  • Epua ndizi zako, na kisha punguza maji uliyochemshia kwenye chombo safi
  • Pondaponda ndizi huku ukiongeza maji uliyoyatenga ili kulainisha mchanganyiko
  • Ongeza margarine
  • huku ukiendelea kuponda
DSC01377.JPG



  • Ndizi zinapokua laini kabisa weka nyama uliyochemsha kwenye mchanganyiko wa ndizi
  • Ongeza maji uliyochemshia nyama na koroga mpaka mchanganyiko huo uchanganyike vyema
12.05.2011.JPG


Asprin karibu mume wangu.
Dah.... Akibakiza usiumwage bana....tupo njaa Kali huku...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom