Mto Mara na Chumvi

Mto Mara na Chumvi

Wickama

Platinum Member
Joined
Mar 8, 2009
Posts
1,568
Reaction score
1,350
Hizi ni kingo za Mto Mara (Rorya). Ukiupita Mto Mara hutajua kuwa unaweza kuua bustani ya mtu. Huu weupe ni Chumvi. Chumvi hii inabebwa na mto toka unakoanzia hadi ziwa Victoria. Kutumia maji haya kwa kilimo kama bustani inabidi kuchukua tahadhari ya kupambana na maji haya vinginevyo kimzahamzaha miaka michache utajikuta bustani haifai

20250903_081429.jpg
 
Inatolewa wapi hiyo chumvi? Na je mto mara ni salt water au fresh water?
 
Hiyo chumvi ulilamba? Hiyo chumvi ni mbolea? Mbona mimea imenawili?
 
Inatolewa wapi hiyo chumvi? Na je mto mara ni salt water au fresh water?
Mto Mara unaanzia misitu ya Mau huko Kenya. Hii chumvi ni kutokana na virutubisho vya udongo. Tatizo ni kwamba kwenye maeneo ya tambare na joto huwa hii chumvi inaonekana kiurahisi baada ya maji ya ukingoni kukauka
 
Chumvi ipo kwenye udongo, sio mto.
Maji yameyeyusha chumvi iliyopo kwenye udongo, yalipokauka chumvi ikabaki inonekana.
 
Back
Top Bottom