Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Wapendwa wana MMU.....!
habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.
baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!
Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!
I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!
''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-kitakuumbua''
ahsanteni sana wakuu!
habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.
baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!
Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!
I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!
''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-kitakuumbua''
ahsanteni sana wakuu!