Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Mch. Christopher Mtikila amesema kwamba Dr. Slaa alishinda uchaguzi wa urais kwa 71%, na anamshangaa Dr. Slaa kwa kutokuchukua hatua za kisheria kudai haki yake.
Hata hivyo CHADEMA wametoa tamko rasmi kuwa hawayatambui matokeo ya urais, na hawamtambui Kikwete kama rais wa Tanzania.
source: Mwananchi.
Hata hivyo CHADEMA wametoa tamko rasmi kuwa hawayatambui matokeo ya urais, na hawamtambui Kikwete kama rais wa Tanzania.
source: Mwananchi.