KUna mtu ameniambia kwamba, Mtikila aliandaa ile taarifa kwa nia ya kuwabana wafadhili wake waliompeleka Tarime waongeze dau na hakujua kwamba itavuja na kufika mikononi mwa watu wengine. Ndio maana anachanganyikiwa na kuanza kumshambulia hadi JK. Hao waliomtuma wamemwambia JK na Mengi ni marafiki sasa akasahau kwamba hao wanaomlipa Jk ni Mwenyekiti wao, akamtukana.
Waliomtuma wameanza kumsakama wakisema, "wewe huaminiki inawezekana umewasiliana na mtu wako wa zamani na kumbe ulikuwa umekwisha kumpa huo waraka" sasa kibarua ama 'mgodi' kama anavyouita yeye umeharibika na na kwa kuwa uchaguzi wa Tarime umekwisha hatopata tena dili na asubiri "mgodi" mwingine uteme kama si mwaka 2010