Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
Habari wana JF?
Kuna jamaa yangu aliapply kazi za uandishi wa habari wa kimataifa (vyombo vya kimataifa kama BBC, CNN, Aljazeera, etc) alipofanya interview (ya kazi) yao walimjibu kuwa tatizo lake hana Kiingereza kilichonyooka. Hicho ndicho kilichomuangusha!!!
Mimi jamaa namkubali kwani anaandika makala kibao za Kiingereza kwenye magazeti ya Kiingereza na pia amefanya interview (mahojiano tu) nyingi sana za kiingereza kwenye vyombo mbalimbali nchini, kikwetu hapa yupo vizuri sana naweza sema!!!
Jamaa anatafuta chuo cha ukweli cha kunyoosha hicho Kiingereza chake kiwe cha Kimataifa kwa hapa nchini, wapi tunaweza kupata chuo cha namna hiyo hapa nchini achilia vile vyuo vya mitaani vya kujifunza kuongea!!!!
Msaada tafadhali wana JF!!!
Kuna jamaa yangu aliapply kazi za uandishi wa habari wa kimataifa (vyombo vya kimataifa kama BBC, CNN, Aljazeera, etc) alipofanya interview (ya kazi) yao walimjibu kuwa tatizo lake hana Kiingereza kilichonyooka. Hicho ndicho kilichomuangusha!!!
Mimi jamaa namkubali kwani anaandika makala kibao za Kiingereza kwenye magazeti ya Kiingereza na pia amefanya interview (mahojiano tu) nyingi sana za kiingereza kwenye vyombo mbalimbali nchini, kikwetu hapa yupo vizuri sana naweza sema!!!
Jamaa anatafuta chuo cha ukweli cha kunyoosha hicho Kiingereza chake kiwe cha Kimataifa kwa hapa nchini, wapi tunaweza kupata chuo cha namna hiyo hapa nchini achilia vile vyuo vya mitaani vya kujifunza kuongea!!!!
Msaada tafadhali wana JF!!!