Kwa heshima yote Mkuu, Rev. Kishoka, Hilo hapana. Muda wake bado sana. Hata katika nchi zilizoendelea. Labda wakina Shy watoweke ghafla kwenye uso wa dunia.... si wata-hack hiyo email address?!! Washenzi wameweza kumfanyizia Palin, itakuwa email ya mwalimu Mkude shule ya Sekondari Biharamlo?!!... uhakika wa kompyuta yake tu kuwaka kwa umeme wa Richmond nako ni kasheshe..... sembuse kusoma email, kuiweka kwenye thumbdrive, kisha kupanda baiskeli kwenda ku-print pale local stationaries mini market, na kurudi shuleni na lundo la karatasi kwa ajili ya kuwatahini form four...... such a process - si atapigwa kikumbo tu njiani na baiskweli yake ichukuliwe?!!
- Who leaked the exam? Why is the exam leaked?vWhat is Necta and Ministry doing about this?
- Why do we need national exams? what is the purpose? is this an aptitude test or pre-qualification exam to receive government sponsorship to get "free' education?
- What is wrong with our education system? why are we observing year after year same problems?
- The History Exam questions, as Mwanakijiji stated, nothing has changed 20 years after I took the O level exam! Hasn't history changed or there is need to move away from old curriculum?
- If this is an aptitude and qualification exam to advance to a Government school (huu ndio ukweli), why does't that responsibility pushed down to regional level? why have NECTA while we could have Exams created at regional level under supervision of Regional Education Officer?
- This will be an opportunity for computerization, where the exam could be emailed to head teachers of the secondary school the morning of the exam day hence removing leaking!
- Who leaked the exam? Why is the exam leaked?vWhat is Necta and Ministry doing about this?
- Why do we need national exams? what is the purpose? is this an aptitude test or pre-qualification exam to receive government sponsorship to get "free' education?
- What is wrong with our education system? why are we observing year after year same problems?
- The History Exam questions, as Mwanakijiji stated, nothing has changed 20 years after I took the O level exam! Hasn't history changed or there is need to move away from old curriculum?
- If this is an aptitude and qualification exam to advance to a Government school (huu ndio ukweli), why does't that responsibility pushed down to regional level? why have NECTA while we could have Exams created at regional level under supervision of Regional Education Officer?
- This will be an opportunity for computerization, where the exam could be emailed to head teachers of the secondary school the morning of the exam day hence removing leaking!
@ Wote wenye kujali..
Hii hoja kuwa mtihani ni uleule tangu miaka ile ya vita vya Idd Amin, nadhani haijakaa vizuri ..kwani Historia hubadilika?
I agree with this problem inakuja cost, hawa jamaa wanachofanya ni kupunguza gharama kwa ku-impair standard. wangelweza kutengeza secured network, na kuagiza high speed printers na kufanya kuwa ni lazima kila shule inunue au hata ikopeshwe kama shart la kusajiliwa na baraza. Tatizo linakuja, Internet, Kama baadhi ya wizara na idara nyeti hazina internet na sometimes updates zinafanyika mara moja kwa mwaka unatarajia nini. Hapa cha kufanya ni kuinvest kwenye elimu na sio siasa kama wanavyofanya watawala wetu.
si lazima kila shule, kila wilaya ikiwa kwenye networks, with good printers hilo linawezekana, kwani mitihani inaweza kupelekwa vituoni some hours before
lakini inwezekana leakageni huko bongo dsm, wakubwa wanafundisha watoto wao mitihani ili wafaulu. kwa hili sasa tuombe turudi mahali mitihani ichapishwe tena uingereza. na je kusambaza mitihani kwa helikopta vipi? haiwezekani? mbona huko tarime ccm wanazo 2 na chadema moja? if you think trainining is expensive try ignorance
Taarifa zinazotufikia zinadai mtihani uliowekwa hapa ulikuwa sahihi, hatua za haraka zinachukuliwa kubadili mtihani huo na kusambaza nakala haraka iwezekanavyo.
Sikuwa nimeziamini habari hizi hadi nilipopata taarifa hii. Watafanikiwa kuusambaza mtihani huo haraka?
Taarifa zinazotufikia zinadai mtihani uliowekwa hapa ulikuwa sahihi, hatua za haraka zinachukuliwa kubadili mtihani huo na kusambaza nakala haraka iwezekanavyo.
Sikuwa nimeziamini habari hizi hadi nilipopata taarifa hii. Watafanikiwa kuusambaza mtihani huo haraka?
Mkuu Masatu,Itakuwa kazi kubwa kuubalisha nchi nzima in less than 20 hours zoezi la ku print na kusambaza ukizingatia miundo mbinu yetu na an uphill task, labda wau akhirishe mpaka baada ya say one week or soo.
Mkuu Masatu,
Binafsi hili ndilo ninalowaza, itawawia ngumu kuweza kufanikisha kurudufu mitihani hiyo haraka kiasi hicho, wasipobadili basi itawagharimu wengi!
Taarifa zinazotufikia zinadai mtihani uliowekwa hapa ulikuwa sahihi, hatua za haraka zinachukuliwa kubadili mtihani huo na kusambaza nakala haraka iwezekanavyo.
Sikuwa nimeziamini habari hizi hadi nilipopata taarifa hii. Watafanikiwa kuusambaza mtihani huo haraka?
Pengine ni wakati sasa kuisambaza ile email niliyomwandikia Katibu Mtendaji wa NECTA, ili wengine pia waione wajue alionywa. Wenzangu huko tusaidiane kumsuta, tumwandikie email nyingi za kumtaka awajibike. Anwani yake esnecta@necta.go.tz.
Mkuu wazo zuri tutajaza inbox yake na wengine huwa na filter huenda zikaishia kwenye spams....pia kumwandikia mail ni kureveal ids zetu!!! nasita kumtwangia mail.
Ushi,Mkuu wazo zuri tutajaza inbox yake na wengine huwa na filter huenda zikaishia kwenye spams....pia kumwandikia mail ni kureveal ids zetu!!! nasita kumtwangia mail.
Ushi,
Hapo ndipo utaona kuwa dhamira ya sisi (JF) kuwapa anuani pepe kupitia JF tulijua kuna issues kama hizi. Ungekuwa na ushirombo@jamiiforums.com ingekuwa rahisi kwako kutuma barua pepe kwa wakuu hawa.
Got me?
kutokana na watu humu ndani kudai kwamba mitihani imekuwa inavuja kila mwaka na kilichobadilika ni aina ya teknolojia inayotumika kuivujisha,nimeamua kuweka mtihani Historia wa taifa wa kidato cha nne utakaofanyika kesho ili kwamba kila mwenye kuuhitaji basi ajipakulie hapa, asije akafeli bure!!
Kitu!!
1. Why did British adopt indirect rule system in their colonies?
2. Explain the factor of the rise and consolidation of the centralized states in different African societies
3. how did the outbreak of World War I and world War II intensify the rise of nationalism in Africa
4. Describe various methods used in the establishment of colonial economy
5. explain the factor of exploitation in mode of production in Africa around 15th Century
6. Political instability is inevitable to Africa. Verify this statement and measures taken to prevent them
7. Factors of abolition of slave trade
8. how did USA support the decolonization of African colonies
9. In which way colonial education destroy African culture
10. Effective mass education maintained resistance against colonialism .Discuss
11. Discuss form and the motive of African nations reaction against colonial occupation
And then there is a map on which a candidate needed to spot the East Africa costal cities historical Sites and answer the Questions about African resistance against Colonialism and who was involved
Ushi,
Hapo ndipo utaona kuwa dhamira ya sisi (JF) kuwapa anuani pepe kupitia JF tulijua kuna issues kama hizi. Ungekuwa na ushirombo@jamiiforums.com ingekuwa rahisi kwako kutuma barua pepe kwa wakuu hawa.
Got me?