mathcom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,396
- 519
exactly...!!
Kwanza mimi time ya kumchunguza mchunguza mke wangu sina nayo kabisa
me nahakikisha kila kile anachostahiki kupata nampatia
me dume la kiafrika kweli kweli,,namvisha,namlisha,namlaza,nampa kila kitu stahiki
last but not least pipi ya kijiti ni hadi aseme yeye basi
kila anapohitaji inakua pale kwa ajili yake,,wala haihitaji starter..
Hili ni la muhimu sana, na ukitekeleza haya huna haja ya kumchunguza au kubabaika na mkeo!
Kwani maoni yake yanatosha kukujengea imani. kama hufanyi kazi vizuri pia utamsikia akisema wazi2!
wewe unaongana wa jamii ya wanaume wanao watendea haki wanawake! wengine huzarau hili!
Big up! Big show!