Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

Mtetezi wa Wanyonye adaiwa kupewa sumu

Nimepokea taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru kwa kumuwekea sumu kwenye chakula Mtetezi wa Wanyonge, Mwenyezi Mungu ni mwemba amnusuru.

Kwa sasa siwezi kuthibitisha kwa undani kilichotokea, lakini naamini ukweli utajulikana.

Kasi yake ya kukubalika kila Kona ya nchi imewatisha, wananchi wote wenye shida imani yao iko kwa mtetezi wa wanyonge.
Mtetezi wa wanyonge ndio nani?
 
Hivi wewe Stroke na funaku a.k.a jingalao hamna mnashughuli nyingine ya kufanya zaidi ya hii ya kulamba makalio ya watawala? Nakumbuka mpo toka enzi za Kikwete, akaja Magufuli na sasa Samia ila kuna walamba makalio wenzenu mliokuwa nao enzi hizo hatuwaoni. Walikuwepo wakina YEHODAYA, Lizaboni Simiyu Yetu, FaizaFoxy, Bia yetu na wengine wengi. Wote hao hawapo nahisi walishapata kazi za kuwaingizia kipato wakaachana na hii kazi ya kulamba matako ya watawala, ila ninyi bado mpo tu. Nauliza mmeshindwa kabisa kupata kazi hadi miongo zaidi ya mitatu bado mnalamba makalio tu?
Mkuu Lizaboni ni yuda the man himself.
 
Nimepokea taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru kwa kumuwekea sumu kwenye chakula Mtetezi wa Wanyonge, Mwenyezi Mungu ni mwemba amnusuru.

Kwa sasa siwezi kuthibitisha kwa undani kilichotokea, lakini naamini ukweli utajulikana.

Kasi yake ya kukubalika kila Kona ya nchi imewatisha, wananchi wote wenye shida imani yao iko kwa mtetezi wa wanyonge.
Wataua wangapi?
Kwa sasa WaTanganyika wanajua wanataka nini... Wasipokipata kwa mmoja watakitafuta kwa mwingine!
 
Mwigulu ameweka Kodi kwa mwananchi wa Hali ya chini mno.
Kodi kwenye vocha,miamala na bado amebana kwenye MAENEO mengine, mbaya zaidi ni anonymous kwenye biashara kukuu. Nakumbuka yule mngese mbunge wa Jimbo flan alimwambia Dr mpango kwannini anawalipisha Kodi wabunge. Sasa lameck ametugeukia maskini. Anamakosa makubwa Sananhuyo jamaa, halafu anajifanya anatokea familia maskin
 
Back
Top Bottom